Habari,
Naomba msaada kujua tofauti ya ENgine kati ya 1G-Fe ukilinganisha na VVti kama zote ni CC 2000.
Please naomba msaada maana nahitaji kufanya maamuzi ya haraka.
Ahsanteni sana
Naomba nikushauli kitu kimoja ktk maswala ya engine pamoja na specification zake.
Zote hizi ziko sawa na ndio maana zipo sokoni.
Ushauli, unaponunua gari yenye aina ya engine kati ya hizo, jaribu kuomba upewe jarida dogo tu la pms ya injini.
Hili jarida ni la kukuonyesha kipi cha kuangalia au kubadilisha au kureset baada ya masaa kadha, apart from general service ya gari ya kumwaga oil. (Preventive maintenance system )
Kwa kuwa hizi gari zina electronic nyingi sana, mfumo wa electronic nao hufanyiwa service, kitu hiki kwa inchi yetu sijawahi kuona garage zinazo fanya.
Mfano gari za sasa huwa na kifaa sensor ktk mfumo wake wa gesi chafu na hii ndiyo muhimu kwa kuwa ndio inayopeleka ujumbe ktk control system jinsi gani Moshi unavyotoka either sawa au la. Na zina muda wake wa masaa ukifika lzm zinabadilshwa. Kuna yeyote aliyewahi badirisha? Hakuna.
Kwa hiyo tuwe na tabia ya kujua jinsi gani ya kutunza kulingana na manufacture recommendation.
Unaponunua gari hakikisha unachukua maintenance manual,
Tafadhali maintenance manual lzm upewe na lzm wewe mtumiaji uisome.
Workshop manual ya gari huwa hawakupi inabaki kiwandani au inakuwa kwa service agent wao.
Usichanganye kati ya maintenance manual na workshop manual
Sent using
Jamii Forums mobile app