Naomba msaada wa kutatua tatizo hili

Naomba msaada wa kutatua tatizo hili

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,257
Reaction score
22,131
Salaam wakuu,

nilinunua hizi smart wristband model aina ya M4 ambazo ni hizi za kichina. Issue ni kufanya pairing na simu wakuu. Nimejaribu apps kama fit pro, lefun health etc. Lakini shida ipo pale pale, naomba msaada kwa wakuu ambaye ameshawahi kua na experience na hizi gadgets.

Natanguliza shukrani za dhati.
Cc: Mwl.RCT Chief-Mkwawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuma hata picha ya hiyo saa tuione kwanza alafu fanya kama alivyo kuambia mwana juu hapo washa Bluetooth kisha pair alafu ndio ujue tatizo liko wapi.
 
Iko hivi mkuu, kwenye hii saa hakuna sehemu inayoonyesha ya kuwasha au kuzima btooth. Sema utajuaje kama iko on? Baada ya kuwasha btooth ya simu ukiscan inaonekana na inafanya pairing fresh. Mchawi anakuja kwenye apps, hakuna inayokubali kuunga kabisa.
Washa Bluetooth kwanza kisha jaribu tena ku pair na fitpro

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio mkuu.
Tuma hata picha ya hiyo saa tuione kwanza alafu fanya kama alivyo kuambia mwana juu hapo washa Bluetooth kisha pair alfu ndio ujue tatizo liko wapi.
1582758199121.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo saa mimi pia ninayo na ku pair ni simple, hakikisha saa iko on(kama haina chaji na imezima huwezi fanikiwa).

Washa bluetooth ya sim kisha ingia kwny app ya Fitpro kisha una pair easy tu... Baada ya ku pair itabidi uingie kwny hiyo hiyo app kuna sehem ya kutia tick apps unazohitaji kupokea notification kwenye saa yako... Easy bro

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefanikiwa, thanks mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mimi imekubali kuconect kwa WearFit lakini FitPro bado haijakubali
Usisahau kuweka tick kwenye feature ya Bright screen mode ili kila ukinyanyua mkono kutazama saa basi screen inawaka yenyewe, haina haja ya kutouch kioo cha saa.
Kwa msaada hiyo feature utaipata kwenye hiyo hiyo app ya fitpro, kipengele cha SET, karibu na DND mode hapo juu kushoto

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nilishawahi kuhitumia hapo hapo kwenye kover ukibonyeza inawaka ..then una repair na simu yako password tumia 0000

sent from toyota Allex
 
Back
Top Bottom