Inategemea na chanzo cha tatizo unaweza kuta kuwa kuna leakage tu ya mabombaNenda Nabaki Afrika
Kama fangasi.Tafuta fundi ujenzi na fundi Rangi kwa kwa ukaguzi zaidi waikague na watakupa majibu sahihi nini cha kufanya
Kuna dawa za fangasi mkuu fundi atakushauriKama fangasi.
Atamshauri, Hao ni fangasi.Kuna dawa za fangasi mkuu fundi atakushauri
Sawa ni fangasi lakini kwa kushirikiana na fundi atamshauri namna ya kufanya mkuuAtamshauri, Hao ni fangasi.
Sawa mkuu uliniquote kimakosa.Sawa ni fangasi lakini kwa kushirikiana na fundi atamshauri namna ya kufanya mkuu
Au eneo alilopo lina magadi na chumvi nyingi, Kama ni hivyo apige niru yenye cementi kali sana.Sawa ni fangasi lakini kwa kushirikiana na fundi atamshauri namna ya kufanya mkuu
Mkuu hii nyumba nimenunua ishapigwa msingi tayariWakati wa ujenzi uliweka yale lile nailoni la kuzuia maji maji yasipande ukutani?
Nyumba yako ilipo ilikuwa ni eneo la maji kutuhama?
Kuna mabomba yamepita ndani ya kuta eneo hilo?
naam mkuu chumvi kwa kweli ipoAu eneo alilopo lina magadi na chumvi nyingi, Kama ni hivyo apige niru yenye cementi kali sana.
Nashukuru mkuu nitafanya hivyoHiyo ratio iliotumika kupiga plasta ni mbovu sana...
Japo ni fungus lakini plasta na skimming ni mbovu sana....hii ni jenga uza..
Nunua white skim..fundi apige mikono mitatu, kama unataka na dawa ya fungus wanayo pia.
Angepiga plasta vizuri, hyo powder ingekuwa inabanduka bila cement
Naam tafuta fundi akurekebishieNashukuru mkuu nitafanya hivyo
Kama ni issue ya chumvi, fumua plaster yote na ipingwe upya kwa mchanganyiko mkali sana, yaani unaweza fanya 1:2, Yaani kipimo kimoja cha cement kiende sawa na vipimo viwili vya mchanga. Pia mchanga usiwe na hao magadi.( unaweza chukua sample ukapeleka Tanroads wakakupimia bei yake ni ya kawaida kabisa).naam mkuu chumvi kwa kweli ipo