Habari wakuu,
Naombeni wataalamu wa kuifanya hii huduma wanisaidi nn cha kufanya...Nipo mkoa A nataka kumspy mpenzi wangu aliyemkoa B...Nawakilisha
Watu hawaelewi umuhimu wa kumspy mwenzio ndio maana wanakuwa wanadis,kimsingi ni muhimu sana hususan kipindi hiki ambacho magonjwa yapo nje nje
Fanya hivi;
:::Nenda www.web.whatsapp.com kwa kutumia laptop
:::Ikishafunguka itatokea barcode flani ya whatsapp
:::Chukua simu ya mtu unaetaka kumspy,fungua whatsapp,right click utaona option ya whatsapp web
:::Ingia hapo kwenye whatsapp web,itatokea bar code scanner(ni kama camera) utaielekeza kwenye bar code inayoonekana kwenye laptop ulipoingia
:::Ukiielekeza pale (kama unataka kuipiga picha lakini make sure inajaa kwenye camera pale) itaload na pale kwenye laptop itakulog in kwenye whatsapp
:::Mrudishie mwenye simu yake na subiri maumivu
NB:Itafanya kazi only kama yeye yupo online
Unaweza kuchat na contacts zake ila epuka hilo asijestukia mchezo
Asiwe anaijua hii mbinu,anaweza kulog out na ukaacha kumpata tena
Kuna njia nyingine nyingi za app installation