thebusdriverclassc
Senior Member
- Jan 16, 2014
- 146
- 66
Na ndio maana Uzi wangu haujauliza nataka kuachana ma mpenz wangu,nisaidieni jamani.....maana najua nimeuliza swali sehemu sahihi na wana MMU tunasaidiana
ukitaka kuelekezwa nipm jins ya kufanya ila mpnz wako awe na android mm kila siku nasoma sms anazochart na watu wote kila siku ingawa yy hajui
Habari wakuu,
Naombeni wataalamu wa kuifanya hii huduma wanisaidi nn cha kufanya...Nipo mkoa A nataka kumspy mpenzi wangu aliyemkoa B...Nawakilisha