Naomba msaada wa kupata Fifa 15 PC Game

Naomba msaada wa kupata Fifa 15 PC Game

Mndengereko

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
7,307
Reaction score
3,416
Heshima kwenu wakuu,ninauhitaji na game la fifa 15, pc version,nimejaribu kudownload internet lakini sijafanikiwa kuweza kulicrack,nimehangaika ila sijafanikiwa so kwa yeyote ambayo analo lililokuwa cracked tayari na linacheza kwenye pc yake tafadhali naomba tuwasiliane,

Natanguliza shukrani za dhati.!
i am dying for it.
 
cheza cheza demo kwanza mbona una haraka hivyo?

last time kama siku 3 zilizopita crack ilikua haijatoka bado
 
cheza cheza demo kwanza mbona una haraka hivyo?

last time kama siku 3 zilizopita crack ilikua haijatoka bado

Demo linaboa liko so limited,hawa cracker this time wamelala sana mpk leo tarehe30, crack ya game bado internet na wakati game limetoka tarehe 23
 
inawezekana wameongeza security

Siyo inawezekana huo ndo ukweli wenyewe.

Baada ya kufanikiwa ku-Crack The Sims 4 wanadai EA waliongeza security kwenye FIFA 15.

3DM ndo group pekee linalotegemewa kwa sasa, inasadikika groups nyingine zimekata tamaa.

Mategemeo ya kila mtu yamebaki kwa huyu/hawa "genius" wa Kichina (3DM).

May God bless him/her/them.
 
Siyo inawezekana huo ndo ukweli wenyewe.

Baada ya kufanikiwa ku-Crack The Sims 4 wanadai EA waliongeza security kwenye FIFA 15.

3DM ndo group pekee linalotegemewa kwa sasa, inasadikika groups nyingine zimekata tamaa.

Mategemeo ya kila mtu yamebaki kwa huyu/hawa "genius" wa Kichina (3DM).

May God bless him/her/them.
na skidrow pia,hawa jamaa nwakubali sana kwa crack im sure watafanikiwa tu sema patient ndo kinachonishinda coz hili game ni tamu sana hasa baada a kuionja demo yake,ila kwa sasa nahisi sina jinsi!!
 
Siyo inawezekana huo ndo ukweli wenyewe.

Baada ya kufanikiwa ku-Crack The Sims 4 wanadai EA waliongeza security kwenye FIFA 15.

3DM ndo group pekee linalotegemewa kwa sasa, inasadikika groups nyingine zimekata tamaa.

Mategemeo ya kila mtu yamebaki kwa huyu/hawa "genius" wa Kichina (3DM).

May God bless him/her/them.

ujue china ni dunia nyengine unaweza kuta imeshatoka siku nyingi crack ila bado haijafanyiwa translation
 
na skidrow pia,hawa jamaa nwakubali sana kwa crack im sure watafanikiwa tu sema patient ndo kinachonishinda coz hili game ni tamu sana hasa baada a kuionja demo yake,ila kwa sasa nahisi sina jinsi!!

Skidrow watu wanawalaumu kwa tabia ya kuziwahi cracks kutoka 3DM halafu wana-Edit lines mbili tatu na kuziita zao.

Kitu kingine kinachowachelewesha hawa Wachina (3DM) ni bugs zilizopo kwenye game lenyewe la FIFA 15.

Kuwa mvumilivu, hata FIFA 14 lilisumbua hivi hivi tena lile ndo liliwasumbua zaidi kwasababu security iliyotumika kipindi kile ilikuwa mpya to them.
 
Skidrow watu wanawalaumu kwa tabia ya kuziwahi cracks kutoka 3DM halafu wana-Edit lines mbili tatu na kuziita zao.

Kitu kingine kinachowachelewesha hawa Wachina (3DM) ni bugs zilizopo kwenye game lenyewe la FIFA 15.

Kuwa mvumilivu, hata FIFA 14 lilisumbua hivi hivi tena lile ndo liliwasumbua zaidi kwasababu security iliyotumika kipindi kile ilikuwa mpya to them.
samiiyna wa`atwaana.ngoja nivute subira zaidi
 
Heshima kwenu wakuu,ninauhitaji na game la fifa 15, pc version,nimejaribu kudownload internet lakini sijafanikiwa kuweza kulicrack,nimehangaika ila sijafanikiwa so kwa yeyote ambayo analo lililokuwa cracked tayari na linacheza kwenye pc yake tafadhali naomba tuwasiliane,

Natanguliza shukrani za dhati.!
i am dying for it.
kua mpole mkuu,,mambo yatakua oky soon.
 
Heshima kwenu wakuu,ninauhitaji na game la fifa 15, pc version,nimejaribu kudownload internet lakini sijafanikiwa kuweza kulicrack,nimehangaika ila sijafanikiwa so kwa yeyote ambayo analo lililokuwa cracked tayari na linacheza kwenye pc yake tafadhali naomba tuwasiliane,

Natanguliza shukrani za dhati.!
i am dying for it.

Ndugu kama uzalendo umekushinda basi support developers nunua CD..,,
 
kwani Pc version tayari? mbona walianza kwa xbox tuu hta ps nadhan ndo wame release lately
 
Heshima kwenu wakuu,ninauhitaji na game la fifa 15, pc version,nimejaribu kudownload internet lakini sijafanikiwa kuweza kulicrack,nimehangaika ila sijafanikiwa so kwa yeyote ambayo analo lililokuwa cracked tayari na linacheza kwenye pc yake tafadhali naomba tuwasiliane,

Natanguliza shukrani za dhati.!
i am dying for it.
dah kila muda naGoogle kama tayari ila hakuna kitu
 
nimepitia kickass torrent leo kucheck jamaa wa SKIDROWCRACK wanategemea kuanzia tar 12 mpaka tar 24 crack itakuwa wameshaitoa..keep on waiting people..
 
vVGC94s6w8.png
 
nimepitia kickass torrent leo kucheck jamaa wa SKIDROWCRACK wanategemea kuanzia tar 12 mpaka tar 24 crack itakuwa wameshaitoa..keep on waiting people..
we are waiting mkuu tarehe 24 sio mbali
 
Back
Top Bottom