Naomba msaada wa kitaalamu tafadhali

Naomba msaada wa kitaalamu tafadhali

blogspot

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2017
Posts
1,269
Reaction score
1,147
Habari wakuu. Poleni na Majukumu.

Wakuu nimepata changamoto baada ya kununua simu Online (aliexpress).

Simu hii imegoma kusoma SIM CARDS za hapa Nyumbani Tanzania.

Nimeangalia ABOUT PHONE>STATUS>NETWORK > SERVICE STATE Lakini kwenye service state nimekuta notifification hii " OUT OF SERVICE"

Naomba msahada tafadhali wakuu.

Simu ni Samsung galaxy grand prime
 
Sio mtaalam sana ila nilijaribu kwenda kwa mtaalamu akashindwa kuflash mkuu.
kama ulienda k/koo wale sio mafundi ni wahuni tuu... nilishawahi safiri kutoka mkoani nikapeleka simu kwa mafundi kama watano pale wakashindwa na cha ajabu kila unaempelekea anasafisha kwa mswaki na vimaji vya njano... mwisho wa siku nilikomaa nayo mwenyewe nikafanikiwa kuifufua. Cha kwanza ingina youtube utapata pa kuanzia
 
kama ulienda k/koo wale sio mafundi ni wahuni tuu... nilishawahi safiri kutoka mkoani nikapeleka simu kwa mafundi kama watano pale wakashindwa na cha ajabu kila unaempelekea anasafisha kwa mswaki na vimaji vya njano... mwisho wa siku nilikomaa nayo mwenyewe nikafanikiwa kuifufua. Cha kwanza ingina youtube utapata pa kuanzia
Ngoja nipitie tutorials hizo mkuu nicheze nayo kama nikifanikisha/kukwama tena mrejesho nitauleta
 
Mkuu kwenye simu kuna kitu inaitwa frequency Hhz bad.
Mara nyingi watengeneza simu hutengeneza simu aina moja lakini kwa masoko ya sehemu tofauti
Nchi za afrika tuna common frequency zetu ambazo zinatofautiana sana na usa na uchina kama sikosei

Ili kujia zaidi tembelea link hapo chini kisha ingiza aina ya simu, model yake na no yake utapata majibu kama inakamata frequently za tanzania

Kama haina mhz band za bongo haitaweza kusoma kwamwe

WillMyPhoneWork.net - Check if your phone works on a network
Habari wakuu. Poleni na Majukumu.

Wakuu nimepata changamoto baada ya kununua simu Online (aliexpress).

Simu hii imegoma kusoma SIM CARDS za hapa Nyumbani Tanzania.

Nimeangalia ABOUT PHONE>STATUS>NETWORK > SERVICE STATE Lakini kwenye service state nimekuta notifification hii " OUT OF SERVICE"

Naomba msahada tafadhali wakuu.

Simu ni Samsung galaxy grand prime
 
Shukrani Mkuu ngoja niangalie kama ikishindikana seller yupo tayari nirudishe nimeshaongea nae.
Mkuu kwenye simu kuna kitu inaitwa frequency Hhz bad.
Mara nyingi watengeneza simu hutengeneza simu aina moja lakini kwa masoko ya sehemu tofauti
Nchi za afrika tuna common frequency zetu ambazo zinatofautiana sana na usa na uchina kama sikosei

Ili kujia zaidi tembelea link hapo chini kisha ingiza aina ya simu, model yake na no yake utapata majibu kama inakamata frequently za tanzania

Kama haina mhz band za bongo haitaweza kusoma kwamwe

WillMyPhoneWork.net - Check if your phone works on a network
 
Mkuu nimekutana na taarifa hizi

Device Frequencies Samsung Galaxy Grand Prime SM-G530H - Tanzania

Carrier Frequencies Airtel
Result 2G: 900MHz, 1800MHz
Result 3G: 2100MHz
Result 4G LTE: Carrier Network and Device do not support 4G LTE

Carrier Frequencies Tigo

Result 2G: 900MHz, 1800MHz
Result 3G: 2100MHz
Result 4G LTE: Device does not support 4G LTE bands

Carrier Frequencies Vodacom
Result 2G: 900MHz, 1800MHz
Result 3G: 2100MHz
Result 4G LTE: Device does not support 4G LTE bands

Carrier Frequencies ZANTEL
Result 2G: 900MHz, 1800MHz
Result 3G: 2100MHz
Result 4G LTE: Device does not support 4G LTE bands

Mkuu kwenye simu kuna kitu inaitwa frequency Hhz bad.
Mara nyingi watengeneza simu hutengeneza simu aina moja lakini kwa masoko ya sehemu tofauti
Nchi za afrika tuna common frequency zetu ambazo zinatofautiana sana na usa na uchina kama sikosei

Ili kujia zaidi tembelea link hapo chini kisha ingiza aina ya simu, model yake na no yake utapata majibu kama inakamata frequently za tanzania

Kama haina mhz band za bongo haitaweza kusoma kwamwe

WillMyPhoneWork.net - Check if your phone works on a network
 
Shukrani Mkuu ngoja niangalie kama ikishindikana seller yupo tayari nirudishe nimeshaongea nae.
Nina simu kama hiyo "Samsung grand prime" yenyewe inaandika no SIM card ukiweka line bado iko vile vile.

Wakati flani nili ipeleka kwa fundi nikamwambia simu ilikua inatumika nje, (kitu ambacho ni kweli) akasema haiwezi kusoma Tz. Akasema anaweza irekebisha tukapatana nikamlipa, akaniambia nirudi baadae niliporudi akasema imemshinda na pesa akarudisha

Kwa sasa naitumia kuplay music,, ukipata solution naomba nijulishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole mkuu hata mimi fundi aliangaika ila kwangu seller amekubali niirudishe
ila nikaona nije niombe msaada kwanza kabla yakurudisha
Nina simu kama hiyo "Samsung grand prime" yenyewe inaandika no SIM card ukiweka line bado iko vile vile.

Wakati flani nili ipeleka kwa fundi nikamwambia simu ilikua inatumika nje, (kitu ambacho ni kweli) akasema haiwezi kusoma Tz. Akasema anaweza irekebisha tukapatana nikamlipa, akaniambia nirudi baadae niliporudi akasema imemshinda na pesa akarudisha

Kwa sasa naitumia kuplay music,, ukipata solution naomba nijulishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii natumia niki connect na Wi-Fi nafanya kazi zangu kama kawaida.
Nina simu kama hiyo "Samsung grand prime" yenyewe inaandika no SIM card ukiweka line bado iko vile vile.

Wakati flani nili ipeleka kwa fundi nikamwambia simu ilikua inatumika nje, (kitu ambacho ni kweli) akasema haiwezi kusoma Tz. Akasema anaweza irekebisha tukapatana nikamlipa, akaniambia nirudi baadae niliporudi akasema imemshinda na pesa akarudisha

Kwa sasa naitumia kuplay music,, ukipata solution naomba nijulishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom