blogspot
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,269
- 1,147
Habari wakuu. Poleni na Majukumu.
Wakuu nimepata changamoto baada ya kununua simu Online (aliexpress).
Simu hii imegoma kusoma SIM CARDS za hapa Nyumbani Tanzania.
Nimeangalia ABOUT PHONE>STATUS>NETWORK > SERVICE STATE Lakini kwenye service state nimekuta notifification hii " OUT OF SERVICE"
Naomba msahada tafadhali wakuu.
Simu ni Samsung galaxy grand prime
Wakuu nimepata changamoto baada ya kununua simu Online (aliexpress).
Simu hii imegoma kusoma SIM CARDS za hapa Nyumbani Tanzania.
Nimeangalia ABOUT PHONE>STATUS>NETWORK > SERVICE STATE Lakini kwenye service state nimekuta notifification hii " OUT OF SERVICE"
Naomba msahada tafadhali wakuu.
Simu ni Samsung galaxy grand prime