princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,197
- 2,053
Ngoja nim'tag Popobawa atakushauri.
Na ukiwa mwenyewe?Kwa vijana si vibaya kulala uchi hasa ukiwa na mwandani wako maake inakufanya kila mmoja wenu akishtuka tu ni mwendo wa kuchomeka na kuliendeleza tanange hadi mwenza anashtuka anatoa tu ushirikiano
Nilivosoma tu huu uzi nimedindishaWakuu naomba Wachungaji humu waniombee maombi hii tabia sijui naitoa wapi.. Naomba niepuke hii tabia ya kulala uchi.. Ukizingatia natarajia kuoa Sasa..
Naomba nilale japo na boxa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe utakuwa Jiwe unapenda kuombewaWakuu naomba Wachungaji humu waniombee maombi hii tabia sijui naitoa wapi.. Naomba niepuke hii tabia ya kulala uchi.. Ukizingatia natarajia kuoa Sasa..
Naomba nilale japo na boxa
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaWoiii kama vile mwizi kakupiga ngetaai mama shikidi nakufa konki faya wikidii..tyeeennnaa
Itumwe Kweny tigopesa haraka saan
Ndo zipoje izo mkuuNikikuona nakumbuka ule msemo wa 'ndimi za kenge'
Lmao
Hahahahhahah kumbe naharibu...sikuwa nimeng'amua kama ni tangazo hili mkuuMkuu usimuharibie tangazo lake,, cha msingi Mwambie ela ya tangazo atume Kweny akaunti yangu ya jf syllae