morenja
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 4,519
- 1,851
naomba ushauri nifanyaje mimi na jirani zangu ,kuna ukumbi wa muziki anaitwa ACTIVE CLUB hupo mbauda. kata ya sombetini Arusha mjini ,wana piga muziki kelele zinatoka nje ya ukumbi jirani atulali vema ,tumelalamika kwa katibu kata ,diwani ccm ,mkurugenzi wa jiji ,kamanda wa polisi ,tume ya sheria na haki za binadamu ,na kumalizia na kwa mbunge Arusha mjini Chadema ,lakini wapi wanapunguza kelele siku 2 mara kelele zinarudia kama kawaida ,mwaka wa 6 sasa ,ni kama mwenye ukumbi ana wapatia rushwa au sijui ni vipi ? Tunaadhirika sana naomba msaada wana jf