ikizu
JF-Expert Member
- Oct 26, 2011
- 431
- 56
[h=1]Naomba Kufafanuliwa Ufunuo 13:1-18 na 17:1-18[/h]15 Jun
Bwana Yesu asifiwe wapendwa!Mimi ni mfuasi wa Yesu ambaye nimeokoka na niliamua kuachana na mambo yote ya kidunia na kumfuata Yesu. Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Bibilia kwa kipindi hiki hasa nikiwa kazini lakini kuna sehemu huwa inanichanganya sana hasa katika kile kitabu cha Ufunuo wa Yohana 13:1-18 na ile sura ya 17:1-18. Naomba mnisaidie kuufahamu ufunuo huu ili niweze kuelewa vizuri na mimi juu ya huyo mnyama, kanisa na wafalme walio hai na waliopita.Nawashukuru sana katika Bwana wetu Yesu kristo