asante sana ni lazima iwe O rh-
Ndugu zangu baba yangu ni mgonjwa sana yupo hindul mandal, tumeshahangaika kama familia kupata damu tumeshindwa!!! Nawaombeni ndugu zangu mnisaidie!!! 0714148504 plz mbarikiwe sana.
Pole! zaidi amini atapona na kurudi ktk hali yake ya kawaida,kwanza nakushauri mtangulize Mungu na mengine yatafata.
Kwa sasa nipo mwanza hadi mwisho wa mwezi takuwa nsharudi dar naweza changia damu kwa ata kiasi kidogo kwa namna ya vile daktari anavyoweza shauri naweza toa kiwango gani mwilini mwangu...mimi pia ni group hilo hilo so ikibidi tuwasiliane ama kama itawezekana kutoa apa apa mwanza kwa muda huu na ukaipata dar nayo poa pia tuwasiliane,ni PM takupa namba yangu...zaidi siingii muda mwingi JF so angalau weekend ndio nakuwa naingia.
Regards
Ndugu...
Ikishakuwa neg ndo utata sana. Hata hvyo ni universal donor BT not recipient. AB ndo universal recipientPoleni sana jamni,may he get well soon,..
But navojua O positive ni universal donor,au haimatch kwa hyo rhesus factor negative tu ?
Mkuu ondoa wasiwasi, inawezekana kabisa kuchangia damu katika emergency situation/Critical condition kama hiiSo sorry.
Mini ni O Negative but nimechangia hivi karibuni. Inatakiwa ipite miezi sita nitoe tena
Kiongozi hapana.Poleni sana jamni,may he get well soon,..
But navojua O positive ni universal donor,au haimatch kwa hyo rhesus factor negative tu ?
ubarikiwe kwa utayari wako mkuu!!
Kaka sory! Nimetoka kukomfirm assaivi hospital jirani apa kumbe ni 0+ not 0-...itafaaa?0757430630 PM inakataa coz ni new memberNdugu zangu baba yangu ni mgonjwa sana yupo hindul mandal, tumeshahangaika kama familia kupata damu tumeshindwa!!! Nawaombeni ndugu zangu mnisaidie!!! 0714148504 plz mbarikiwe sana.