Phlagiey
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,499
- 1,687
Mkuu ni kweli ume-root hiyo simu?Du nineiroot wapi, nitafute tu cmu nyongine
Mbona unachokisema ni kama hakiendani na p3 iliyo-rooted
Mkuu ni kweli ume-root hiyo simu?Du nineiroot wapi, nitafute tu cmu nyongine
Nisaidie mkuu ninataka kununua simu nyingine katika sifa unayoitaja cmu gani ambayo ni chip kama ya laki hadi laki na 30 ambayo itanifaa nshauri
Jaribu Huawei ascend y-511, ina internal space 4GB Kama bajeti yako ni ndogo.
Nime root inagoma nilitumia ki app flan kinaitwa poot nlipo maliza imenletea mitaarifa ya ajabu ajabu hatasiielewi lol, acha nkajichukulie huawei ni enjoy
Cheza na settings tu mpaka ikubali. Pale kwenye default storage iamuru iweke SD cardInakataa hata nkibadili
Kama ya huyo jamaa ilikuwa hivyo basi itakuwa kwa zote?kuna jamaa amechukua hiyo juzi lkn haipokei chochote kwa bluetooth, pia aki download App inaleta ujumba wa Error.
mkuu hili tatizo ni common kwa simu za tecno na hutoweza kupata soln humu jf wala google.Mimi nishauliza sana tu kuhusu hili humu jf na nimegoogle sana tu mpaka nimechoka mwenyewe bila mafanikioWapendwa wana JF, naomba msaada simu yangu ni tecno p3 tatizo niki download vitu inaniambia insuficient space, wakati nimedownload vitu vichache sana imejaaje, na inaniambia sc card space 5.34 gb free sielewi, nisaidieni
Wapendwa wana JF, naomba msaada simu yangu ni tecno p3 tatizo niki download vitu inaniambia insuficient space, wakati nimedownload vitu vichache sana imejaaje, na inaniambia sc card space 5.34 gb free sielewi, nisaidieni
mkuu this is abnormal problem yani haliwezi kua fixed,mm nilijaribu mpaka kuifanya factory reset cmu yng lkn sikufanikiwaHapo ndio tofauti ya simu ya ghali na ya bei rahisi!!
Hamisha baadhi ya Apps + extras (vitakavyokubali kuhama) viiende kwenye external memory na kila app mpya iweke kwenye external
Ukishndwa nielewa ni Pm ili nami pia nikuelewe