BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,033
- 3,944
...Wadau naomba msaada wenu. Kuna wakati nilikuwa nikitumia Modem ya Voda ambayo nilikuwa nawea kununua Bundle ya internet kupitia kwenye interface yake. Niliaacha kidogo kutokana na eneo nililokuwepo voda kupatikana kwa tabu. Nimeirejea lakini nimesahau ile njia ya kununua bundle kupitia interface yao ingawa najua ya kuuliza salio la bundle ni kuandika BALANCEDATA na Kutuma 15300. Naombeni msaada ile ya kununua bundle.
Shukurani Zimetangulizwa.
Shukurani Zimetangulizwa.