Tunakodisha Bunduki
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 822
- 1,280
Afadhali Hata ningekuwa Malaya wa lecture ningeandika Nina degree ya chup!...
Hongera kwa kupata degree ya hovyo
Afadhali Hata ningekuwa Malaya wa lecture ningeandika Nina degree ya chup!...
Pole sana aisee
Mwambie asikate tamaa, kufeli na kufaulu ni sehemu ya maisha
Kwa mtu aliye-disco,
taratibu ninazofahamu mimi, itampasa kukaa miaka 3, then ataruhusiwa kuomba chuo na kama alikua mnufaika wa HESLB atatakiwa kulipa 25% ya kiasi cha fedha yote aliyokwisha kutumia.
Ila pia kila chuo kinakua na utaratibu wake kulingana na sababu ya ku-disco.
Sent using Jamii Forums mobile app
kama kweli kasoma hapo....anaidhalilisha taasisi kubwa kama udsm...mi nimepigwa na butwaa mimi najua motto wa udsm ni "hekima na busara" sasa kama mafunzo yao hayareflect kile wanachokiproduce bora udsm ifungwe tuMkuu Udsm hawatoi product ya hovyo kama hi
kama kweli kasoma hapo....anaidhalilisha taasisi kubwa kama udsm...mi nimepigwa na butwaa mimi najua motto wa udsm ni "hekima na busara" sasa kama mafunzo yao hayareflect kile wanachokiproduce bora udsm ifungwe tu
mkuu motto wa udsm ni "hekima na busara" sasa kama wanachofundisha udsm hakireflect kwenye product inazozitoa bora hiyo taasisi ifungwe tu maana hata chekechea wana "hekima na busara"Afadhali Hata ningekuwa Malaya wa lecture ningeandika Nina degree ya chup!...
Mkuu sup sio kitu cha ajabu kwa maisha ya chuoUna disco vipi?????unaanzaje Ku disco??? Sikuwahi pata hata sup wakati nasoma.Zwazwa hiloo
sasa napata picha hyu hata udsm haifahamu ilipoHongera kwa kupata degree ya hovyo



sio kwa pumba anazoziongea huyu mkuuMkuu usijaji kudsco inategemea na mazingira ya mtu yakojeANAYEFELI CHUO NI KILAZA
YAN UMEFAULU STD I-FORM 6, UNAKUJA KUFELI CHUO? AU KUSUP? UJINGA HUU
Kwahiyo mkuu unanithibitishia kuwa education ni degree isiyoeleweka????kama amedisco kwenye education mungu amemuonesha njia
sasa akaapply degree inayoeleweka
Sent using Jamii Forums mobile app




Samahani mkuu itakua ulimwelewa vibaya nnavoona alimaanisha ajira siku hizi kwa walimu wa arts hakuna so heri usome kitu unachokipenda tu maana zamani sie maskini tulikua tunaenda uko sababu ya kupata mkopo na ajira ya moja kwa moja hasa kwa waliosoma arts.Kwahiyo mkuu unanithibitishia kuwa education ni degree isiyoeleweka????
Acheni dharau na professional za watu yaani mkuu hovyo kabisa huna hata aibu eti apply degree ya kueleweka
Alafu unaweza kuta alieomba education matokeo alikupiga gap kabisa kidato cha sita...
Hivi mkuu kama education ni degree isiyoeleweka huna haja ya kumpeleka mtoto wako shule maana atakuwa anafundishwa na watu wasioeleweka sasa![]()
Pamoja mkuuSamahani mkuu itakua ulimwelewa vibaya nnavoona alimaanisha ajira siku hizi kwa walimu wa arts hakuna so heri usome kitu unachokipenda tu maana zamani sie maskini tulikua tunaenda uko sababu ya kupata mkopo na ajira ya moja kwa moja hasa kwa waliosoma arts.
Ushapata kazi na chemistry yako mkuu...uko wapi tujue na sisi tuombe chemistry mwaka huu hapo Udom.pole sana ndugu, kwa huyo ndugu yako ila nachopenda kukushauri asiapply chuo kwa kipindi hichi akae kwanza nyumbani mwaka mmoja asome mazingira ya kitaa vizurina changamoto zake then apate uchungu wa kusoma pindi akuwepo chuoni hiyo itamsaidia kumpa nguvu ya kurudi kwa kasi na kwa nia zaidi pia kwa kipindi cha mwaka mmoja atakaokuwa anasubiria achanganue kichwa chake na kujua kipi kitamsaidia akisoma then mwisho wa siku ajiajri au kuajiriwa kama atakuwa na channel nzuri. kwa kipindi cha mwaka mmoja naimani atajifunza mengi na yatamsaidia kumkuza kiakili..ningekusaidia juu ya program za kusoma ila mm nimebase sana kwenye science.pia ni muhitimu wa mwaka huu kwa bachelor of science in chemistry ( UDOM) na kwa sasa napiga kazi...huku nasubiria matoke.
pole sana ndugu, kwa huyo ndugu yako ila nachopenda kukushauri asiapply chuo kwa kipindi hichi akae kwanza nyumbani mwaka mmoja asome mazingira ya kitaa vizurina changamoto zake then apate uchungu wa kusoma pindi akuwepo chuoni hiyo itamsaidia kumpa nguvu ya kurudi kwa kasi na kwa nia zaidi pia kwa kipindi cha mwaka mmoja atakaokuwa anasubiria achanganue kichwa chake na kujua kipi kitamsaidia akisoma then mwisho wa siku ajiajri au kuajiriwa kama atakuwa na channel nzuri. kwa kipindi cha mwaka mmoja naimani atajifunza mengi na yatamsaidia kumkuza kiakili..ningekusaidia juu ya program za kusoma ila mm nimebase sana kwenye science.pia ni muhitimu wa mwaka huu kwa bachelor of science in chemistry ( UDOM) na kwa sasa napiga kazi...huku nasubiria matoke.