Naomba msaada, nimedisco chuo nifanyeje?

Naomba msaada, nimedisco chuo nifanyeje?

Wakuu poleni na majukumu.


Nina ndugu yangu hapa kashindwa kuendelea na chuo mwaka ujao wa masomo, alikuwa anachukua with education MKWAWA. Matokeo yake ya kidato cha sita mwaka 2015 ni

GEO B+
HIST B
ECO C
GS C
BAM F

1.ataruhusiwa kuaply tena chuo cha serikali kwa mwaka huu wa masomo?
2.je hapo anaweza chukua coz gani zenye soko?


Nawashukuru sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri tu...
Ukiona umetingwa sana komaa hapo chuo ufanye acrobatic ya matokeo then omba open university. Ukifanikiwa kufanya haya basi utakua umejitengenezea safari ya kuendelea na chuo for the next academic year bila kurudia mwaka, itaonekana kama umehama chuo...
Kuhusu course, we pata chuo kwanza course itafahamika mbele kwa mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una disco vipi?????unaanzaje Ku disco??? Sikuwahi pata hata sup wakati nasoma.Zwazwa hiloo
Tutolee shombo zako hapa...! Nyie ambao hamjasoma tunawajua tu na ata kama umesoma itakuwa st Joseph utapata vipi sup sasa. Mtu aliesoma anajua kusup na kudisco ni sehemu ya maisha ya shule na zipo reasons kibao za kufanya hayo yatokee..! Fyoko fyoko jinga sana wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutolee shombo zako hapa...! Nyie ambao hamjasoma tunawajua tu na ata kama umesoma itakuwa st Joseph utapata vipi sup sasa. Mtu aliesoma anajua kusup na kudisco ni sehemu ya maisha ya shule na zipo reasons kibao za kufanya hayo yatokee..! Fyoko fyoko jinga sana wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Bila Shaka huyo jamaa anaesema unaanzaje kupata sup n wa st.Joseph huyooo maana Nina waahikaji zangu wanasoma st.Joseph ya mbezi ile huwa wanasema pale hamnaga sup....au bila Shaka atakuwa ni wa Kampala huyo.... Ila kww vyuo kama UDSM na vingine vilivyo strictly supp ni kawaida Sana....tena Kwa udsm hasa CONAS ndo kabisaaa sup unatembea nazo....
 
Tutolee shombo zako hapa...! Nyie ambao hamjasoma tunawajua tu na ata kama umesoma itakuwa st Joseph utapata vipi sup sasa. Mtu aliesoma anajua kusup na kudisco ni sehemu ya maisha ya shule na zipo reasons kibao za kufanya hayo yatokee..! Fyoko fyoko jinga sana wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Povu ruksa,ikikuuma kimya scania zwazwa mwingine wewe
 
Panick at your own risk. Nenda udsm katafute jina langu kokote unakojua wewe then tazama matokeo kama utakuna na sup kwenye transcript. Take chill pills boya wewe
 
Panick at your own risk. Nenda udsm katafute jina langu kokote unakojua wewe then tazama matokeo kama utakuna na sup kwenye transcript. Take chill pills boya wewe
Aende akatafute jina lako
Maserati/udsm/results
 
Back
Top Bottom