Naomba msaada, nimedisco chuo nifanyeje?

Naomba msaada, nimedisco chuo nifanyeje?

Strive Masiyiwa says;
If you have failed your exam
If you have lost your job
If you have failed in your business
[HASHTAG]#Nothing[/HASHTAG] can turn on this
Get back to it &
Never give up!
 
Apply Udsm - economics , bcom finance au bcom according
 
Wakuu poleni na majukumu.


Nina ndugu yangu hapa kashindwa kuendelea na chuo mwaka ujao wa masomo, alikuwa anachukua with education MKWAWA. Matokeo yake ya kidato cha sita mwaka 2015 ni

GEO B+
HIST B
ECO C
GS C
BAM F

1.ataruhusiwa kuaply tena chuo cha serikali kwa mwaka huu wa masomo?
2.je hapo anaweza chukua coz gani zenye soko?


Nawashukuru sana.


Sent using Jamii Forums mobile app


Kwanza ashukuru wame muongoza kitu ,,, waliomaliza 2015 hadi leo wako nyumban hawajui hatma yao,, hivi kuna ulazima wa kusoma ??? hyo elimu aliyo nayo yamtosha kwenye elemu afanye tuu mambo mengine ,,
sory kwa kuzungukaaaa ila ushaelewa
 
hiv maserati una akili timamu kweli tangu nimepost huna la maana ni kumtusi ndugu yangu. kumbuka leo na kesho. kukaa kimya ni vyema kuliko kuuzi watu. kwani ungepita tu usicoment ningepungua nini.

Kama umesoma vitu hivi aluvyogundua mzungu ukajiona una akili sana wewe ndio zwazwa plus. umegundua nini kilichofanya mabadiliko. hovyo unatia aibu sana kama ni kweli ulipita chuo. kama ulioitia huko basi ni mlango wa nyuma.

Sent from my Infinix-X551 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe kuna vitoto humu eeh

Sent using Jamii Forums mobile app
utoto sio umri ni uwezo wa kupambanunua mambo. umenesha kiasi fulani una dharau kwa kuwaona wadogo hawana akili au utashi wa kufanya mambo ya tofauti na ya maana.

ingefaaa kama ungenikosoa kuwa nipost kitu kinachofanya nionekane mtoto. by the way hoja hoja hoja life goes on. feel free sorry kama nimekuuzi.




Sent from my Infinix-X551 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom