Naomba msaada, nimebonyeza *35*0000# kwenye simu yangu

Naomba msaada, nimebonyeza *35*0000# kwenye simu yangu

nez-o

Senior Member
Joined
Apr 13, 2019
Posts
181
Reaction score
180
Nimebonyeza *35*0000# nikipigiwa simu anayenipigia anajibiwa simu yangu imezuiliwa kwa mda, ila mimi nikipiga simu ninaowapigia nawapata

Nifanyaje ili tatizo hili la kutopatikana kwa wanaonipigia liishe.
 
Back
Top Bottom