Naomba msaada, nimebonyeza *35*0000# kwenye simu yangu

Nimebonyeza *35*0000# nikipigiwa simu anayenipigia anajibiwa simu yangu imezuiliwa kwa mda, ila mimi nikipiga simu ninaowapigia nawapata.

Nifanyaje ili tatizo hili la kutopatikana kwa wanaonipigia liishe.
Hiyo ni ku activate huduma ya call barring. Sasa UNDO kwa kuanza na # ,toa nyota hiyo. Mwwnzon.
 
Haikubali
Hiyo ni CALL BARRING, nenda kwenye CALL SETTINGMORE SETTINGCALL BARRINGVOICE CALLALL INCOMING CALLS(Angalia kama imekuwa ticked, kama ndio switch off itakuambia uweke password nafikiri ni PIN 2 hivi kama unazo ziweke)
 
What is Call Barring?

Call Barring allows you to bar certain types of calls from being made from your phone and also allows you to bar incoming calls.

To Bar All Outgoing Calls - **333*0000# SEND

To Bar All Incoming Calls - **35*0000# SEND

To Bar All Outgoing International Calls - **31*0000# SEND

To cancel All Call Barring - ##002# SEND
 
Back
Top Bottom