Hiyo ni ku activate huduma ya call barring. Sasa UNDO kwa kuanza na # ,toa nyota hiyo. Mwwnzon.Nimebonyeza *35*0000# nikipigiwa simu anayenipigia anajibiwa simu yangu imezuiliwa kwa mda, ila mimi nikipiga simu ninaowapigia nawapata.
Nifanyaje ili tatizo hili la kutopatikana kwa wanaonipigia liishe.
Sahihi kabisaAnza na #35*0000#
pole mkuu maana hizo chenga hata kupikia vitumbua haifai.Mpaka sasa chenga mkuu sijafanikiwa
Hiyo ni CALL BARRING, nenda kwenye CALL SETTINGMORE SETTINGCALL BARRINGVOICE CALLALL INCOMING CALLS(Angalia kama imekuwa ticked, kama ndio switch off itakuambia uweke password nafikiri ni PIN 2 hivi kama unazo ziweke)Haikubali
Kwenye password jaribu kuweka 0000 au 1234.Hiyo ni CALL BARRING, nenda kwenye CALL SETTINGMORE SETTINGCALL BARRINGVOICE CALLALL INCOMING CALLS(Angalia kama imekuwa ticked, kama ndio switch off itakuambia uweke password nafikiri ni PIN 2 hivi kama unazo ziweke)
Kama ulikuwa unasave kwenye google account utazikuta ...Nikireset cm majina hayatafutika mkuu
Yeye akubaliane alichokuwa anakitafuta. Mwanakulifind mwanakuliget