Habari wana jamvi, naomba kueleweshwa namna bora ya kusoma kipimo Cha HIV (rapid test).
Nimenunua kipimo, nikasafisha kidole Kisha nikatoboa na kupima damu, kwenye kifaa hicho, ndani ya dk 10-20 za mwanzo Mstari mmoja C, ndani ya saa moja bado ilikuwa mstari mmoja C, baada ya masaa 3 kipimo kikabadilika kabisa na kuwa na mistari 3 na yote miwili ya mwisho imetokea kwa kufatana ama kwa pamoja.
Naomba mawazo yenu wadau.
Nimenunua kipimo, nikasafisha kidole Kisha nikatoboa na kupima damu, kwenye kifaa hicho, ndani ya dk 10-20 za mwanzo Mstari mmoja C, ndani ya saa moja bado ilikuwa mstari mmoja C, baada ya masaa 3 kipimo kikabadilika kabisa na kuwa na mistari 3 na yote miwili ya mwisho imetokea kwa kufatana ama kwa pamoja.
Naomba mawazo yenu wadau.