monte caro
Member
- May 9, 2014
- 10
- 9
Nina tatizo hapa kuhusu kipimo cha HIV
Kilionesha Line katika mstari wa C ndani ya Dk 15 za mwanzo ila baada ya dk 25 kuna mistari partial 2 ilijitokeka kwa mbali.. Je nini tatizo kipimo kiko active hakija expire, huyu mtu ni Negative au Positive
Kilionesha Line katika mstari wa C ndani ya Dk 15 za mwanzo ila baada ya dk 25 kuna mistari partial 2 ilijitokeka kwa mbali.. Je nini tatizo kipimo kiko active hakija expire, huyu mtu ni Negative au Positive