Naomba msaada na ushauri katika suala hili wana JamiiForums

Naomba msaada na ushauri katika suala hili wana JamiiForums

fafanua tena mkuu maana si kwamba nilisex 22 na siku 3 zilizofuata mfululizo!
Ooh kwahiyo ulimfungia mtoto wa watu ndani ukawa unachakata aysee kama ulichakata kuanzia 22-25 basi mbegu zikafika 26 hizo 27 zikatunga mimba

Hongera bakija
Akiwa wa kike mwite Jane
 
Kutokana na changamoto ya uhaba wa maji, miaka ya nyuma, kulikuwa na kisima cha kijiji ambacho kila Mwanakijiji alikuwa anakwenda kujichotea maji ...

Kuwa makini na hilo Mkuu.....

Hongera kuwa Baba Kijacho, kwa mujibu wa bei ya soko, diapers inauzwa shilingi 500 kwa moja, ama shilingi 5,000 dozen
Eti 5000! Naona unamtia moyo😂 kijana Holoholo diaper ni kuanzia 40,000-70,000 dozen!
 
292C99D5-4B01-4301-A6B9-A3FD541144A8.jpeg
688C4552-5668-4E33-A2E6-7DAD783B129A.jpeg
 
Ooh kwahiyo ulimfungia mtoto wa watu ndani ukawa unachakata aysee kama ulichakata kuanzia 22-25 basi mbegu zikafika 26 hizo 27 zikatunga mimba

Hongera bakija
Akiwa wa kike mwite Jane
kwani kwa kawaida mwanamke anakaa siku ngapi toka kupata hedhi hadi hedhi nyengine?
 
Back
Top Bottom