Naomba msaada: Mpenzi wangu anaichanganya sana

Naomba msaada: Mpenzi wangu anaichanganya sana

Hili suala lako linahitaji msaada wa kisaikolojia hebu ni PM kwanza
 
Yaan we ushamuacha huyo hakuna cha ushauri hapa.. Mabinti waliowaacha wapenz wao mtaani wakiwa na elimu za chini, huku wakiwapenda kwa dhati na kujiapiza hawatabadilika na kuwaacha wachumba zao na bado waliwatosa!!! Itakuwa wew mwenye sababu mujarabu kabisa.

Wacha maneno yako kabisa, huyo ndo nitolee, na mwambie kabisa asikusubiri, usije kusababisha maafa baadae kama gabu wa mwanza..
 
Jipange kwanza. Kama ulivyoambiwa huko juu jitambue.
Kugawa sex sio defn ya mapenzi.
Kama unataka mpenzi wa kudumu ambayo nahisi ndo matamanio yako basi anza na wewe kwanza sio yeye.
Kuwa na msimamo kuwa na tabia njema kuwa na akili kuwa na profession kuwa na maamuzi.
Yote yanahitaji ujasiri wa ndani.
Anzia hapo.

Anorher thing. Sikiliza ushauri mzuri saa ingine huwa unasaidia dear.
Ila tukikuambia umuache kwanza usome utakubali?
 
Wasichana bana yaani mkishaanza tu kutombesher basi akili yote huruka...

Ona sasa mtoto mdogo unahangaika na mapenzi badala ya kuwaza habari zako za kitaaluma kwa maisha mapya ya shule...

Hivi we binti, humuonei huruma baba yako anavyohangaika kukufanya bintiye uondoe ujinga kichwani?

Pumbafuuu kabisa!!!

Taratibu mkuu watu8 ndo mazao ya BRN.
 
Last edited by a moderator:
nimemaliza nw, naingia chuo mwaka wa kwanza,
Basi hata sikushauri maana maisha ya chuo mwenyewe utajiongeza na utamsahau yule, utakuja kuniambia mwenyewe hapa kuna vitu fresh kule sema chunga sana maana chuo unaweza kupata mpenzi wa kweli au pia usipate maana maisha ya kule mara nyingi huwa ni ya kupita tu ukimaliza kila mtu na 50 zake anawaza maisha tena, alafu istoshe kwanini usifikirie masomo yako kwanaza badala ya kuwza ndoa na huyo jamaa maana unaonekana bado kabinti kadogo sana kuwaza hivi vitu
 
Mmmmh mtaliwa sana.
Bandua bandua humaliza gogo. Utaolewa na mwingine na utamu wote umeisha, mwisho utaachika
 
nami naomba nitie neno hapa..

1. tuhakikishie kuwa utakaempenda hatakuzalia mtoto wa nje kwa 100%
2. umesema yeye ni form four leaver.. naona hiyo ndo sababu kubwa.. kusikia tu unaenda kachuo kako ka kata ushajiona wa thamani sana acha bhange..
3. achana na ngono kabisa ingawa 100% najua wataenda kukubutua sana huko chuo..
4. siku ukifika mwanaume wako wa kumi na mbili ndani ya semista ya kwanza uje utupe mrejesho kuwa kila unaempata alikuwa na demu wake pale chuo/alikotoka..

blalifakkeenn....
.
 
nakereka sana na hii tabia ya wanachuo!!! usiende kuwaiga hawa wa.pumbav.u utapotea kwenye ramani!!!!

 
Last edited by a moderator:
Jipange kwanza. Kama ulivyoambiwa huko juu jitambue.
Kugawa sex sio defn ya mapenzi.
Kama unataka mpenzi wa kudumu ambayo nahisi ndo matamanio yako basi anza na wewe kwanza sio yeye.
Kuwa na msimamo kuwa na tabia njema kuwa na akili kuwa na profession kuwa na maamuzi.
Yote yanahitaji ujasiri wa ndani.
Anzia hapo.

Anorher thing. Sikiliza ushauri mzuri saa ingine huwa unasaidia dear.
Ila tukikuambia umuache kwanza usome utakubali?

akikataa atakuwa m.wehu!!!! na limbukeni wa mapenzi unajua ukishindwa kujiendesha mwenyewe dunia itachukua nafasi hiyo!!!
 
Mmh. Nenda chuo mwaya utakutana na mabrozer men kibao wanao jua kutesa zaidi ya huyo.. la msingi usikurupuke
 
Fuata moyo wako

Uwe na mtu kwa kuwa unampenda na si kwa kuwa jamii inasemaje.......
 
Mpendwa Gaga93,pole sana kwa yaliyokusibu najua umefedheheka sana kwa ushauri wa lugha kali uliopewa na baadhi ya wakuu hapo juu...Nasikitika kukueleza kwamba uliwahi sana kuanza mapenzi kitu ambacho si kizuri kwako.But kwa kuwa yameshatokea jitahidi kuanzia leo punguza mawasiliano na huyo mkaka,jitahidi kufikiria changamoto za chuo unazoenda kukabiliana nazo.Ni vyema ukafikiria jinsi utakavyoweza kuendana na masomo magumu ya chuo...Kitu muhimu ni ww kutambua thamani yako na kuilinda.Sawa, ni kweli unampenda huyo mkaka but jaribu kufikiria jinsi wazazi wako wanavyohangaika ili kukutengenezea maisha bora ya badae.Elewa kwamba watu wako kwenye mahusiano kwa ajili ya kutafuta furaha na inapotokea uwezekano wa kushindwa kuipata hiyo furaha waliyoitarajia huenda kuitafuta sehemu nyingine so uamuzi ni wako....You must focus on your Strengths
''All power is within you,you can do anything,Believe in that,Do not believe that you are weak.You can do anything and everything,even without the guidance of anyone...All power is there.Stand up and express the divinity within you''.
 
Wasichana bana yaani mkishaanza tu kutombesher basi akili yote huruka...

Ona sasa mtoto mdogo unahangaika na mapenzi badala ya kuwaza habari zako za kitaaluma kwa maisha mapya ya shule...

Hivi we binti, humuonei huruma baba yako anavyohangaika kukufanya bintiye uondoe ujinga kichwani?

Pumbafuuu kabisa!!!

Msamehe bure, ni ujinga tu umemkaa kisawasawa!!!!
 
Nenda kasome kwanza... ukue kiakili we bado mtoto unakimbilia kuolewa...izo ahad za kitoto izo sitawaponza
 
Back
Top Bottom