Mambo humu,
Jamani naomba msaada wenu, mimi na mpenzi wangu sasa mwaka wa tatu' tangu nipo kidato cha nne. Kwakweli kipindi hicho chote sikupata yale mapenzi ya dhati. Nlikuwa napata dharau nyingi, matusi, hata kunichanganya na wasichana wengine. Nlikuwa naumia sana lakini sikuweza kumwacha sababu he is ma frst man, na nilimpenda sana, na akili za utoto pia.
Butt now kinacho niuma zaidi huyu mwananume amezaa na mschana mwingine ila wameachana. Nliumia sana tulitengana takribani miezi minne sababu nilikuwa na soma boarding. Ila nlivyorudi likizo alinitafuta na kutumia watu aliniomba msamaha, nami nikamsamehe. Sasa now kinachoniuma zaidi nikimuona huyo mtoto na jinsi anavyospend nae, me simchukii but nahisi kama sitaweza kumpenda huyo mtoto vizuri kama wa kwangu, na huyo mvulana anataka kunioa now. Anasema mimi ndo wake wa milele, mimi now naingia chuo mwaka wa kwanza nahisi kama yele yote niliyofanya nyuma ni ujinga.
Nataka kuachana nae ili niwe happy nami na maisha yangu ili niweze kupata mume bora kwangu na mtoto wetu atakuwa wa kwanza kati yetu, da only kitu nahofia mahusiano yetu yanajulikana kwa watu wengi na familia yake pia, watasema naenda chuo ndio maana nataka niachane nae, ila me siyo kwasababu hiyo ila ni kwa sababu ya kujitambua. Sababu mwenzangu ni form four level.
Nisaidieni
Jamani naomba msaada wenu, mimi na mpenzi wangu sasa mwaka wa tatu' tangu nipo kidato cha nne. Kwakweli kipindi hicho chote sikupata yale mapenzi ya dhati. Nlikuwa napata dharau nyingi, matusi, hata kunichanganya na wasichana wengine. Nlikuwa naumia sana lakini sikuweza kumwacha sababu he is ma frst man, na nilimpenda sana, na akili za utoto pia.
Butt now kinacho niuma zaidi huyu mwananume amezaa na mschana mwingine ila wameachana. Nliumia sana tulitengana takribani miezi minne sababu nilikuwa na soma boarding. Ila nlivyorudi likizo alinitafuta na kutumia watu aliniomba msamaha, nami nikamsamehe. Sasa now kinachoniuma zaidi nikimuona huyo mtoto na jinsi anavyospend nae, me simchukii but nahisi kama sitaweza kumpenda huyo mtoto vizuri kama wa kwangu, na huyo mvulana anataka kunioa now. Anasema mimi ndo wake wa milele, mimi now naingia chuo mwaka wa kwanza nahisi kama yele yote niliyofanya nyuma ni ujinga.
Nataka kuachana nae ili niwe happy nami na maisha yangu ili niweze kupata mume bora kwangu na mtoto wetu atakuwa wa kwanza kati yetu, da only kitu nahofia mahusiano yetu yanajulikana kwa watu wengi na familia yake pia, watasema naenda chuo ndio maana nataka niachane nae, ila me siyo kwasababu hiyo ila ni kwa sababu ya kujitambua. Sababu mwenzangu ni form four level.
Nisaidieni