Naomba msaada kwa hili wanawake wenzangu wanaJamiiForums

Naomba msaada kwa hili wanawake wenzangu wanaJamiiForums

Rubeboy

Member
Joined
Nov 3, 2014
Posts
15
Reaction score
0
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 22.

Ni mda mrefu sasa nimekuwa na matamanio ya kuwa na hips na makalio makubwa kiasi flani cha kumvutia mtu yoyote atakae niangalia, matamanio yangu hayajaishia hapo tena huwa natamani sana kuwa na miguu mizuri ya kuvutia hata nikivaa nguo ya kuishia magotini iwe inanipendeza.

Ndiyo yangu tu hayo wanawake wenzang waJF naomba hata ushauri au unijulishe njia za kuweza kupata hayo matamanio yangu ya mda mrefu.

MWANAMKE MVUTO BIBIE FULL KUJIACHIA
 
Duh! Jf inatisha sana...
Hebu mzee wa KGB Tyta naomba uje hapa mkuu. Kuna mamluki anaambaa eneo hili la himaya yako ya usalama
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 22..Ni mda mref sasa nimekuwa na matamanio ya kuwa na hips na makalio makubwa kiasi flan cha kumvutia mtu yoyote atakae niangalia,matamanio yang hayajaishia hapo tena huwa nataman sana kuwa na miguu mizur ya kuvutia hata nikivaa nguo ya kuishia magotin iwe ina inanipendeza..Ndiyo yang tu hayo wanawake wenzang waJF naomba hata ushaur au unijurishe njia za kuweza kupata hayo matamanio yang ya mda mref...MWANAMKE MVUTO BIBIE FULL KUJIACHIA

Jikubali jinsi ulivyo..... hayo mengine unayoyataka kuyaweka, umr ukieanda utazeeka haraka
 
Huhuhuuu mtafute mama ubaya katoka juzi china karudi na kalio analiacha nje nje
 
Kwakuwa Mungu ndo kakupa flat screen na hiyo milonjo rudi kwake umuombe akuongezee hivo ulivo hujaridhika....Rubeboy mmh!!!!:confused2:
 
Tena usisubir hadi mguu uje kama unataka kupiga kimini piga tu .... Ukilingojea ---- ndio kabisaaaa utachelewa looo ama tafuta zile skintight zenye sponchi hahahaaaaa mweeee ukipita ---- kule hips zimejaa looo utasababisa jam barabaran kwa kweli kila la kheri
 
kishajikubali ila akina mimi ndo hatumkubali sasa... nyumba bila choo haijakamilika, mwanamke sharti uwe umefunga banah

Ha ha ha loh ndo solution ujue Mungu hawezi kukunyima vyote mana mwanamke reception shape na vingine kwa mchina ina maana hana hata hyo
 
Sikiliza

Chukua udongo mfinyanzi finyanga madunguli mawili ya ------ then chukua superglue jibandike
Udongo unaobakia bandika kwe miguu !!!


Vipi manyonyo hutaki?

Sura je ?



loh kuna watu mnamaajabu!!!!!


maskini utakuwa na matatizo wewe!!!!!
 
Ha ha ha loh ndo solution ujue Mungu hawezi kukunyima vyote mana mwanamke reception shape na vingine kwa mchina ina maana hana hata hyo

hata hiyo usikute hana, ndo anataka wachina wamdhamini.... hapa nshapata busness idea
 
Tuma application yako kwa Mungu aliyekuumba , Mkosoe kisha Jirudishe kwake kwa kunywa sumu ya panya ili akakumodify upya ....utarudi kivingine kama New Brand
 
Sikiliza

Chukua udongo mfinyanzi finyanga madunguli mawili ya ------ then chukua superglue jibandike
Udongo unaobakia bandika kwe miguu !!!


Vipi manyonyo hutaki?

Sura je ?



loh kuna watu mnamaajabu!!!!!


maskini utakuwa na matatizo wewe!!!!!

hahahaa too much
 
Back
Top Bottom