Deusdedith Boniphace
Member
- Jul 13, 2016
- 9
- 4
Naomba ufafanuzi juu ya kuomba vyuo!!
Nimemaliza dip mwak 2014 na overall GPA yang ni 3.7. Nishaomba mkopo Loans Board.
Kama nijuavyo kwetu sisi tuliomaliza dip tunafanya maombi kupitia NACTE lakini NACTE walishafunga.Vipi naweza omba kupitia TCU au baadae NACTE wataruhusu tena watu kuomba?
Nimemaliza dip mwak 2014 na overall GPA yang ni 3.7. Nishaomba mkopo Loans Board.
Kama nijuavyo kwetu sisi tuliomaliza dip tunafanya maombi kupitia NACTE lakini NACTE walishafunga.Vipi naweza omba kupitia TCU au baadae NACTE wataruhusu tena watu kuomba?