Naomba msaada kujibiwa haya maswali

pethidine 2

Member
Oct 3, 2017
19
12
Mimi sheria ilipita kushoto napenda kujua kazi za watu wafuatao <br />1. Hakimu<br />2. Judge<br />3. Wakiri<br /><br />Pia nijue hizi mahakama kiundani zaidi<br />1. Mahakama ya mwanzo na inauwezo gani.<br />2. Mahakama ya wilaya na uwezo wake <br />3.mahakama ya rufaa na uwezo wake<br />4. Mahakama ya aridhi na si mahakama zingine<br />5. Mahakama ya watoto<br /><br />Mwisho<br />Nn sababu ya kesi kusikilizwa muda mrefu?<br /><br />Nawezaje kufungua jarada LA kesi<br /><br />Nawezaje kuondoa kesi mahakamani/ kuifuta<br /><br />Simu inapogika nikiwa mahakamani sheria inasemaje. Maana huwa nasikia ni makosa. Maswali ni mengi tuanze na haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…