Naomba msaada kujibiwa haya maswali

pethidine 2

Member
Oct 3, 2017
19
12
Mimi sheria ilipita kushoto napenda kujua kazi za watu wafuatao <br />1. Hakimu<br />2. Judge<br />3. Wakiri<br /><br />Pia nijue hizi mahakama kiundani zaidi<br />1. Mahakama ya mwanzo na inauwezo gani.<br />2. Mahakama ya wilaya na uwezo wake <br />3.mahakama ya rufaa na uwezo wake<br />4. Mahakama ya aridhi na si mahakama zingine<br />5. Mahakama ya watoto<br /><br />Mwisho<br />Nn sababu ya kesi kusikilizwa muda mrefu?<br /><br />Nawezaje kufungua jarada LA kesi<br /><br />Nawezaje kuondoa kesi mahakamani/ kuifuta<br /><br />Simu inapogika nikiwa mahakamani sheria inasemaje. Maana huwa nasikia ni makosa. Maswali ni mengi tuanze na haya.
 
Back
Top Bottom