Sirm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 561
- 370
Nilipewa namba ya msichana na rafiki yangu mmoja, nilichat nae kwa muda mrefu hadi tukawa wapenzi.
Kipindi cha karibuni nilimuuliza kiutani kama aliwahi kua na Boyfriend akawa hataki kunijibu, lakini niliamua kumsisitizia swali hilo hadi akaamua kuniambia kua ni kweli anae na akaniambia "NAOMBA TUACHANE".
Nilipomuuliza kwanini akanambia kwasababu kuna mtu ANAMPENDA kama vile mimi ninavyompenda yeye.
Nilichoamua kumuomba ni mimi kuonana na yeye ukichukulia ni kama mwezi mmoja tangu tufahamiane.
Kakubali tuonane kesho lakini nimebaki na mawazo ni vitu gani hasa natakiwa nivifanye;-
1)Kwasababu hatujawahi kuonana nianze kumtongoza upya?
2)Nianze kwa kumbembeleza asiniache?
3)Hakuna jipya litakalotokea bora nisiende nitazidi kuumia moyo tu!
Naombeni mnipe ushauri jamani nimechanganyikiwa!
Kipindi cha karibuni nilimuuliza kiutani kama aliwahi kua na Boyfriend akawa hataki kunijibu, lakini niliamua kumsisitizia swali hilo hadi akaamua kuniambia kua ni kweli anae na akaniambia "NAOMBA TUACHANE".
Nilipomuuliza kwanini akanambia kwasababu kuna mtu ANAMPENDA kama vile mimi ninavyompenda yeye.
Nilichoamua kumuomba ni mimi kuonana na yeye ukichukulia ni kama mwezi mmoja tangu tufahamiane.
Kakubali tuonane kesho lakini nimebaki na mawazo ni vitu gani hasa natakiwa nivifanye;-
1)Kwasababu hatujawahi kuonana nianze kumtongoza upya?
2)Nianze kwa kumbembeleza asiniache?
3)Hakuna jipya litakalotokea bora nisiende nitazidi kuumia moyo tu!
Naombeni mnipe ushauri jamani nimechanganyikiwa!