Naomba msaada kuhusu dawa za PEP

KIXI

JF-Expert Member
Mar 3, 2015
1,624
1,885
Kwa wenye experience wa hizi dawa za PEP naomba kuuliza kwa nini nikinywa hizi dawa nakuwa napatwa na homa na najisikia kuchoka sana naomba mnijuze hii ni kawaida au?
 
Kwa wenye experience wa hizi dawa za PEP naomba kuuliza kwa nini nikinywa hizi dawa nakuwa napatwa na homa na najisikia kuchoka sana naomba mnijuze hii ni kawaida au??
Pole sana. Ulianza lini? Hizi dawa ni wengi wanalalamika kuwa siku za mwanzo mwanzo zinaleta maluelue sana. Wengine wanasema wanaota ndoto mbaya na kila aina ya ghasia. Ila kadiri unavyotumia ndivyo dalili zinavyopungua na mwishowe unazoea.

Mimi nakushauri ni vizuri urudi kwa daktari pengine anaweza kutoa jibu kamili baada ya kukuona au kukupima. Kila mtu huwa ana-react kivyake anapotumia dawa fulani na ni vigumu kupata ushauri wa kusaidia bila kumwona mtaalam ana kwa ana.
 
Hapo mbona bado sasa we uko siku za mwanzo !! kuna ile unaota watu wamekufunga kwenye kiroba wanakupiga mawe 🤣🤣 imagine hii ndoto unaiota toka ulivyolala mpaka unaamka
 

Attachments

  • FB_IMG_1689162767262.jpg
    FB_IMG_1689162767262.jpg
    10.1 KB · Views: 3
Pole sana. Ulianza lini? Hizi dawa ni wengi wanalalamika kuwa siku za mwanzo mwanzo zinaleta maluelue sana. Wengine wanasema wanaota ndoto mbaya na kila aina ya ghasia. Ila kadiri unavyotumia ndivyo dalili zinavyopungua na mwishowe unazoea. Mimi nakushauri ni vizuri urudi kwa daktari pengine anaweza kutoa jibu kamili baada ya kukuona au kukupima. Kila mtu huwa ana-react kivyake anapotumia dawa fulani na ni vigumu kupata ushauri wa kusaidia bila kumwona mtaalam ana kwa ana.
Asante ngoja nirudi hospital maana zinanipelekesha sana
 
Hapo mbona bado sasa we uko siku za mwanzo !! kuna ile unaota watu wamekufunga kwenye kiroba wanakupiga mawe 🤣🤣 imagine hii ndoto unaiota toka ulivyolala mpaka unaamka
Daah mbona unanitisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom