Duh.Unasumbuliwa na homa kali na kukosa hamu ya kula siku ya 4 hii.
Jana nilipima nikaambiwa ni minyoo, kichocho na U.T.I.
Lakini nimetumia dawa homa na kukosa hamu ya kula vimegoma kabisaaa hata kupungua.
Watalaamu naomba msaada nitumie dawa gani???
Pole!Unasumbuliwa na homa kali na kukosa hamu ya kula siku ya 4 hii.
Jana nilipima nikaambiwa ni minyoo, kichocho na U.T.I.
Lakini nimetumia dawa homa na kukosa hamu ya kula vimegoma kabisaaa hata kupungua.
Watalaamu naomba msaada nitumie dawa gani???
Wiki mbili hadi nne zilizopita ulipiga kavuUnasumbuliwa na homa kali na kukosa hamu ya kula siku ya 4 hii.
Jana nilipima nikaambiwa ni minyoo, kichocho na U.T.I.
Lakini nimetumia dawa homa na kukosa hamu ya kula vimegoma kabisaaa hata kupungua.
Watalaamu naomba msaada nitumie dawa gani???