Hii ni dawa gani?

Da'Vinci

JF-Expert Member
Dec 1, 2016
35,686
106,811
Kuna jamaa angu amekua akiniambia kua anatumia vidonge vikali vya UTI nikawa namuuliza ni ipi Ciprofloxacin au Azythromycine?? Akawa anashindwa kuvitaja. But leo nimeenda kuncheki kwenye shughuli zake katika stori stori akanionyesha chupa la dawa anazotumia.. Yeye akawa anasema ni PEP. Kwamba anatumia kutibia UTI. Kwamba anazitumia kwa mwezi.

Sasa katika kusoma mchanganyiko wa dawa zilizomo nikakuta dawa ya Lamuvudine... Nilisikia nimepigwa na shoti mwilini coz najua Lamuvudine ni dawa inayotumika kuziwia/kutibu HIV.

Sasa nashindwa kuelewa je hii ndio PEP au ni Arv yenyewe??

Daah kwa ukwasi alionao na afya yake ilivyo bora nitashangaa sana kama kishaumana kwake. God forbid isijekua ndio yenyewe sijui atafanyaje
DSC_0202.JPG
DSC_0204.JPG
 
ARV anti- retrovirals

Retroviruses ni kundi la viruses ambao moja wapo ni HIV.
Anti - retrovirals ni dawa zilizotengenezwa kupambana na hao viruses

Mtu anapokuwa exposed na HIV, awe amebakwa, amejiprick, au amejamiana na mtu mwenye virusi.
Mapema zaidi kabla hayajapita masaa 72, anapewa ARV, ambazo zitaua virusi kabla havijaweka makazi kwenye mwili.

Hii haina ya tiba ndio inaitwa Post exposure prophlaxis(PEP).

Dawa hizi atatumia ndani ya mwezi mzima. Baada ya hapo atapima.

Kwa scenario ya rafiki yako inaoneka ana pata tiba ya PEP.
Kwa lugha ya ilizoeleka anatumia PEP.
 
ARV anti- retroviruses.

Retroviruses ni kundi la viruses ambao moja wapo ni HIV.
Anti - retroviruses ni dawa zilizotengenezwa kupambana na hao viruses

Mtu anapokuwa exposed na HIV, awe amebakwa, amejiprick, au amejamiana na mtu mwenye virusi.
Mapema zaidi kabla hayajapita masaa 72, anapewa ARV, ambazo zitaua virusi kabla havijaweka makazi kwenye mwili.

Hii haina ya tiba ndio inaitwa Post exposure prophlaxis(PEP).

Dawa hizi atatumia ndani ya mwezi mzima. Baada ya hapo atapima.

Kwa scenario ya rafiki yako inaoneka ana pata tiba ya PEP.
Kwa lugha ya ilizoeleka anatumia PEP.
Yeaah ila inavyoonekana hajui matumizi ya pep ni nini maana yeye anasema ni uti. Duuh sijui yupo humu. Anisamehe kama yupo humu I just feel sorry for him
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom