Kumekuwa na hizi dawa za kupunguza wezekano wa kuambukizwa virusi vya HIV, ambazo ni PREP na PEP, je zinafanya kazi kwa asilimia ngapi?
Na mbona kwenye vituo vya afya wanatoa hizi PEP lakni ni dawa hizo hizo za ARVS, je ni sahihi kwa kufanya hivyo? Na je, kama umekutana na mtu mwenye maambukizi na aka kuambukiza ukatumia kwa mwizi mmoja hizo dawa.
Je, kuna uwezekano wa Virusi kuonekana kwnye vipimo wakati unatumia hizo dawa au kwavile uko kwnye dawa kwa mwenzi mmoja, 30 days havita onekana?
Na mbona kwenye vituo vya afya wanatoa hizi PEP lakni ni dawa hizo hizo za ARVS, je ni sahihi kwa kufanya hivyo? Na je, kama umekutana na mtu mwenye maambukizi na aka kuambukiza ukatumia kwa mwizi mmoja hizo dawa.
Je, kuna uwezekano wa Virusi kuonekana kwnye vipimo wakati unatumia hizo dawa au kwavile uko kwnye dawa kwa mwenzi mmoja, 30 days havita onekana?