Angalia usije ukatapeliwa.dstv ndo wana haki ya kuonyesha epl.hao wengine ujanja ujanja tu.Nnaomba msaada ,ni king'amuzi gani ambacho sio cha kulipia kwa mwezi ambacho ninaweza kupata mpira league ya uingereza....Na bei yake ni shilling ngapi?
pitia huu uzi utapata jibu la haja yako Msaada: King'amuzi cha free to air (FTA)Nnaomba msaada ,ni king'amuzi gani ambacho sio cha kulipia kwa mwezi ambacho ninaweza kupata mpira league ya uingereza....Na bei yake ni shilling ngapi?
Hili ling'amuzi hopeless kabisaDigitek ila hpati ligi za ulaya
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
Vyoote unaweza kutolipia kwa mwezi !Nnaomba msaada ,ni king'amuzi gani ambacho sio cha kulipia kwa mwezi ambacho ninaweza kupata mpira league ya uingereza....Na bei yake ni shilling ngapi?
Mimi mwenyewe Azam sijui wamenisahau nakula channels zote bureee toka mwezi wa nneGuys mbona me changu silipii??? hata siku moja hakijawahi kukata na channelss napata kama kawaida...sasa sielewi nini shida.... lol
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Me Startimes tangu ninunue kwa mtu three years ago mpk leo.Mimi mwenyewe Azam sijui wamenisahau nakula channels zote bureee toka mwezi wa nne
Kweli bahati ni bahati tuMe Startimes tangu ninunue kwa mtu three years ago mpk leo.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Watu na bahati zetuuuuu.Kweli bahati ni bahati tu