naomba msaada katika game la fifa 13

naomba msaada katika game la fifa 13

Lord Lofa

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2011
Posts
2,524
Reaction score
2,798
Wakuu nina tatizo ku initialize hilo game linaishia ku display logo then haliendelei. game nimeli download jana na kila nikifungua halifunguki ila zinatokea crush dumb error messages nimejaribu kuangalia solution kwenye mitandao na uzi apply ila imeshindikana tatizo bado lipo. Pc ninayotumia ni Hp 650 notebook , RAM 4Gb na CPU ni 2.2 GHZ corei3 naomba msaada wakuu.
 
Install vitu hivi kwanza kabla ya game lolote kubwa

1. Direct x- download web installer itaeka version zote zinazohitajika

2. .net framework download zote 4.5 na 3.5

3. C++ Microsoft redistribution za miaka yote, tafuta web installer itafanya mambo yote.


Ukieka vitu hivyo vitatu sahau .dll erors
 
Install vitu hivi kwanza kabla ya game lolote kubwa

1. Direct x- download web installer itaeka version zote zinazohitajika

2. .net framework download zote 4.5 na 3.5

3. C++ Microsoft redistribution za miaka yote, tafuta web installer itafanya mambo yote.


Ukieka vitu hivyo vitatu sahau .dll erors

mkuu chief-mkwawa nashukuru kwa msaada wako nimeweka hivyo vitu ila bado shida ni ile ile
 
Last edited by a moderator:
Angalia hiyo aina ya .dll then tafuta ushushe file lake na ulocate hilo file kwenye pogram husika, fanya hivyo kila .dll inapohitajika.
 
Back
Top Bottom