Habari zenu wanajamii forum, I hope all is well with you.
Nimechaguliwa shule ya Loleza iliyopo Mbeya kwenye tahasusi/combination ya PCB (yaani Physics, Chemistry and Biology) lakini kwa bahati mbaya au nzuri, nimeshindwa kwenda. Ningependa kusoma katika shule ya sekondari Dodoma kwenye combination ya PCM. Je, itawezekana? Na utaratibu wa kupata uhamisho ukoje? Naomba msaada kwa yeyote anayejua.
Nenda hapo Dodoma kwanza uone kama nafasi ipo.Baada ya hapo utatakiwa kumuona Afisa Elimu (W).Utaratibu mpya.lazima ukaripoti Loleza na kulaa miezi mitatu kwanza.
Nenda hapo Dodoma kwanza uone kama nafasi ipo.Baada ya hapo utatakiwa kumuona Afisa Elimu (W).Utaratibu mpya.lazima ukaripoti Loleza na kulaa miezi mitatu kwanza
Japokuwa sijajua kwanini umeshindwa kwenda hujawa wazi lakini km unapenda tahasusi ya PCM hata Loleza ipo tena kubadilisha ukiwa pale pale ni rahisi sana kuliko kutafuta uhamisho maana uhamisho procedures kibao, upate nafasi unakotaka kuhamia muda mwingine unakuta unakuwa ugumu ksb serikali wamechagua watu according to maximum capacity ya shule husika btw nikutakie kila la kheri ktk kutimiza ndoto zako!
Japokuwa sijajua kwanini umeshindwa kwenda hujawa wazi lakini km unapenda tahasusi ya PCM hata Loleza ipo tena kubadilisha ukiwa pale pale ni rahisi sana kuliko kutafuta uhamisho maana uhamisho procedures kibao, upate nafasi unakotaka kuhamia muda mwingine unakuta unakuwa ugumu ksb serikali wamechagua watu according to maximum capacity ya shule husika btw nikutakie kila la kheri ktk kutimiza ndoto zako!
Nashukuru kwa msaada wako, binafsi ningependa kusoma Mbeya lakini imeshindikana kwasababu ya family issues. Either way, I'll keep struggling to achieve my goals. God bless you!
Hiyo comb ya PCM loleza ipo km shida kubadilisha hilo usijali, ila km shida n uhamisho sheria n lazima usome 1 term ktk shule husika ndipo ufanye uhamisho, ila nakutakia kila la kheri ktk kutimiza ndoto zako, comb ngumu na ni ya heshima, mate
Hiyo comb ya PCM loleza ipo km shida kubadilisha hilo usijali, ila km shida n uhamisho sheria n lazima usome 1 term ktk shule husika ndipo ufanye uhamisho, ila nakutakia kila la kheri ktk kutimiza ndoto zako, comb ngumu na ni ya heshima, mate