Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,045
- 15,380
- Thread starter
- #21
Baba IP si ipo.?? Kwani nikiconect internet kwa modem kwenye PC siwezi pata IP yangu
Zala Na Nga
Hiyo sasa ni kazi ya ISP, siyo ya kwako. IP Address wewe utazipata wapi bila kuwa na ISP?. Au wewe una mechanism ya kwako una uwezo wa ku-generate bandwidth ya kwako kiasi kwamba huhitaji huduma ya ISP?
Zala Na Nga