PayGod
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 1,259
- 57
Habari wadau wa Jamiiforums
Naomba mnisaidie wazo la kibiashara niko Arusha Mjini, kaka yangu amenipa vifuatavyo ameniambia nitafuate wazo la biashara na nianzishe biashara yangu.
Wako , wana JF.
Naomba mnisaidie wazo la kibiashara niko Arusha Mjini, kaka yangu amenipa vifuatavyo ameniambia nitafuate wazo la biashara na nianzishe biashara yangu.
- Amenipa ofisi ya chumba kimoja iko gorofa ya pili hapa Arusha mjini yenye furnitures
- Laptop moja, Desktop na printer
- Cash 3million
Wako , wana JF.