FirstbornTz
New Member
- Oct 18, 2023
- 3
- 5
Asante sana. Nilishafanikiwa kupitia jamii forum kupata nafasi
Oya unaaandika matusi kwenye content za watuTengeneza email Nyingine iliyo na jina lako halisi brother. Kazi zimekuwa chache lakini Namna ya utombanaji kazi(ikiwemo kutumia email Kama hiyo) pia huchangia kazi ziwe chache zaidi
Hakuna makosa kwenye email hiyo... muulize kwanza full name yake nani?! (Yaani majina yake yote matatu) alafu ndo u-judge, kisha soma tena ulichoandika utagundua makosa kwenye comment yako.Tengeneza email Nyingine iliyo na jina lako halisi brother. Kazi zimekuwa chache lakini Namna ya utombanaji kazi(ikiwemo kutumia email Kama hiyo) pia huchangia kazi ziwe chache zaidi
Dahh! Kumbe ushaona ndugu mtani?Oya unaaandika matusi kwenye content za watu
Pili mbona hiyo Email iko vizuri tu haina shida....
Umelewa nini mkuu😅?Tengeneza email Nyingine iliyo na jina lako halisi brother. Kazi zimekuwa chache lakini Namna ya utombanaji kazi(ikiwemo kutumia email Kama hiyo) pia huchangia kazi ziwe chache zaidi
Sorry mkuu Nilikuwa tungi, Mambo ya weekendOya unaaandika matusi kwenye content za watu
Pili mbona hiyo Email iko vizuri tu haina shida....
Samahani, nilikuwa tungi muda uleUmelewa nini mkuu😅?
Hawajatoa nafasi za kazi, zinazo husiana na Data Entry au kitengo ambacho ninaweza kupata nafasi.Hao Tasaf vipi?, miaka 2 bado hawajaona umuhimu wako wakuchukue?.