kisokolokwinyo
Member
- Oct 14, 2011
- 65
- 21
Habari za leo JF members,
Happy new year.
Mimi ni dada fundi nashona nguo za aina zote nikimaanisha za kike na kiume. Nashona kwa ustadi wa hali ya juu.
Naombeni support yenu ndugu zangu kama ni kitenge au kitambaa.
Niko Dar Kinondoni, wa mkoa tuma vipimo.
Kuna wale ambao mko busy na kazi hamna muda wa kutoka, no problem nakufata ulipo.
Sina gharama bei ya kawaida
Suti, Kaunda, kitenge, les, vitambaa nashona.
Kupendeza raha asikwambie mtu
Karibu upate muonekano wa kisasa
Namba yngu 0783451512
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Happy new year.
Mimi ni dada fundi nashona nguo za aina zote nikimaanisha za kike na kiume. Nashona kwa ustadi wa hali ya juu.
Naombeni support yenu ndugu zangu kama ni kitenge au kitambaa.
Niko Dar Kinondoni, wa mkoa tuma vipimo.
Kuna wale ambao mko busy na kazi hamna muda wa kutoka, no problem nakufata ulipo.
Sina gharama bei ya kawaida
Suti, Kaunda, kitenge, les, vitambaa nashona.
Kupendeza raha asikwambie mtu
Karibu upate muonekano wa kisasa
Namba yngu 0783451512
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app