kaka mkweli
Member
- Sep 24, 2012
- 62
- 28
kama kawaida kwa wapenda maendeleo kama mimi hawawezi kuacha kitu kama JF kiwapite, hii inatokana na utendaji kazi wake na hali halisi ya uhuru wa kujieleza ilivyo nchini mwetu hivyo kama mpenda maendeleo karibu yenu ina maana sana kwangu naomba mnipokee na kunikaribisha.....................