Naomba mnikaribishe

kaka mkweli

Member
Sep 24, 2012
62
28
kama kawaida kwa wapenda maendeleo kama mimi hawawezi kuacha kitu kama JF kiwapite, hii inatokana na utendaji kazi wake na hali halisi ya uhuru wa kujieleza ilivyo nchini mwetu hivyo kama mpenda maendeleo karibu yenu ina maana sana kwangu naomba mnipokee na kunikaribisha.....................
 
Back
Top Bottom