Naomba mnijuze

Chinga boy

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
412
101
Niaje wadau wa jf? Kwa wale walioko Access bank nimesikia hii bank inatoa mikopo hata kwa dhamana ya gari,so nipo mkoa duty station home ni Da nina gari ndogo ya biashara i.e tax nataka kuiombea mkopo lakn ipo huku Nzega vipi naweza fanikiwa kupata mkopo.Asanteni
 
Back
Top Bottom