..naomba mnieleweshe engine za VVT-I

VVTi ni Visual Valve Timing Injection! Ni aina za engine ambazo fuel consumption ni ndogo sana!kuhusu mafund wapo wengi tu!kati yake na D4,D4 ni more economy on fuel consumption bt tatizo la D4 ni mafuta ya kuchakachua!ukiweka tu missing lazima mfunge ndoa nayo!uliza kingine mkuu!

Hapo kwenye VVTi umedanganya mkuu

VVTi stands for Variable Valve Timing with Intelligence
 
VVT.I, D4, MIVEC, GDI na HYBRID engines are new generation designed to minimize envir pollution and optimize fuel consumption. Lazima usome manuals for troubleshooting. Hazihitaji ubabaishaji wala mazoea

word,thanx
 
VVTi ni Variable Valve Timing with intelligence! Ni aina za engine ambazo fuel consumption ni ndogo sana!kuhusu mafund wapo wengi tu!kati yake na D4,D4 ni more economy on fuel consumption bt tatizo la D4 ni mafuta ya kuchakachua!ukiweka tu missing lazima mfunge ndoa nayo!uliza kingine mkuu!
mhh,na mafuta yetu haya ya mtaani huku kantalamba si tatizo hilo tena?
 
V V T-I ni Variable Valve Timming,kwa engine ya cylinder 6 ina valve 24 yaani inlet 12 na exhaust valves 12.Katika inlet manifold kuna censor ambayo ni controlled na throtle au engine depression na wamelink na engine controlls.Iwapo gari inatembea katika speed chini ya 60kmh to 80kmh valve 12 yaani 6 za inlet na 6 za exhaust hujifunga na kubaki valve 12 tu zinafanya kazi yaani 6 inlet na 6 exhaust.Speed ya gari ikizidi 60 au 80kmh(inategemea setting) valve zingine 12 zinafungua na kufanya valve 24 zote zifanye kazi hivo engine perfomance inaongezeka na fuel consuption inapungua.Ndiyo maana kwa gari kama GX-100 kutembelea hapa mjini ktk foleni na speed ndogo utalalamika inakula mafuta sana tofauti ukiingia safari ndefu ndiyo utaona raha yake zile down za chalinze mpaka segera unapanda na 120kmh bila gari kupungua nguvu.Kifupi hizi ni gari za masafa siyo za kutanulia mjini.Kuhusu technologia wapo vijana wanatengeneza sana,hapa Dar nenda Mivinjeni Garage ya Mabenzi kwa kijazi vijana wapo.Kama kuna ishu complicated wanaingia ktk computer.Siku hizi manual zipo ndani ya mtandao ukilog-in aina sahihi ya engine na taarifa sahihi unapata kila kitu hata majibu ya trouble shooting.

kaka wewe mkali,asante sana!vipi kama ina cylinder 4,bado valve zinakuwa 24?
 
VVTi ni Variable Valve Timing with intelligence! Ni aina za engine ambazo fuel consumption ni ndogo sana!kuhusu mafund wapo wengi tu!kati yake na D4,D4 ni more economy on fuel consumption bt tatizo la D4 ni mafuta ya kuchakachua!ukiweka tu missing lazima mfunge ndoa nayo!uliza kingine mkuu!

kumbe shida ni mafuta maana wengi wanasemaga hizi ingine mbovu!
 
VVTi ni Variable Valve Timing with intelligence! Ni aina za engine ambazo fuel consumption ni ndogo sana!kuhusu mafund wapo wengi tu!kati yake na D4,D4 ni more economy on fuel consumption bt tatizo la D4 ni mafuta ya kuchakachua!ukiweka tu missing lazima mfunge ndoa nayo!uliza kingine mkuu!

mimi ilinioa kabisa kaka na ikanipachika mimba!! sitashauri mtu anunue guruwe la d4!!!
 
Nina Nissan Fuga v6 linanikosesha amani nataka nitoe hiyo injini nifunge injini gan?
 
Umeona nimehusianisha na injini?. Ndugu chunga sana stress zangu kwa hii gari nisije kuzihamishia kwako/ hapa JF nikapata ban. Kama Huna la ku-comment ni bora utulie na mumeo mjenge familia. Mwaka bado mbichi huu.
We chokoo kweli! Kw hiyo umeandika nini hapo juu!? Unatafuta wanaume kinguvu ww mal*ya chokoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
V V T-I ni Variable Valve Timming,kwa engine ya cylinder 6 ina valve 24 yaani inlet 12 na exhaust valves 12.Katika inlet manifold kuna censor ambayo ni controlled na throtle au engine depression na wamelink na engine controlls.Iwapo gari inatembea katika speed chini ya 60kmh to 80kmh valve 12 yaani 6 za inlet na 6 za exhaust hujifunga na kubaki valve 12 tu zinafanya kazi yaani 6 inlet na 6 exhaust.Speed ya gari ikizidi 60 au 80kmh(inategemea setting) valve zingine 12 zinafungua na kufanya valve 24 zote zifanye kazi hivo engine perfomance inaongezeka na fuel consuption inapungua.Ndiyo maana kwa gari kama GX-100 kutembelea hapa mjini ktk foleni na speed ndogo utalalamika inakula mafuta sana tofauti ukiingia safari ndefu ndiyo utaona raha yake zile down za chalinze mpaka segera unapanda na 120kmh bila gari kupungua nguvu.Kifupi hizi ni gari za masafa siyo za kutanulia mjini.Kuhusu technologia wapo vijana wanatengeneza sana,hapa Dar nenda Mivinjeni Garage ya Mabenzi kwa kijazi vijana wapo.Kama kuna ishu complicated wanaingia ktk computer.Siku hizi manual zipo ndani ya mtandao ukilog-in aina sahihi ya engine na taarifa sahihi unapata kila kitu hata majibu ya trouble shooting.
Mmh! Mimi nimehangaka sana kutafuta mtandaoni manual lakini bila kupata. Niingie link gani kupata?
 
Back
Top Bottom