Wasalaam wadau,najua jamvini humu kuna wataalamu wa kila jambo!kwa leo naomba kufahamu kwa kina juu ya engine za magari zenye teknolojia tajwa hapo juu,uzuri na ubaya wake na kama mafundi wetu(tz) wanaweza ku-deal nazo pindi inapopata shida!pia,ni kweli zinasaidia utumiaji wamafuta kuwa kidogo?nimejaribu ku-google ila kithungu hakipandi kabisa,asanteni!
kweli mwana!
VVT.I, D4, MIVEC, GDI na HYBRID engines are new generation designed to minimize envir pollution and optimize fuel consumption. Lazima usome manuals for troubleshooting. Hazihitaji ubabaishaji wala mazoea
VVTi ni Visual Valve Timing Injection! Ni aina za engine ambazo fuel consumption ni ndogo sana!kuhusu mafund wapo wengi tu!kati yake na D4,D4 ni more economy on fuel consumption bt tatizo la D4 ni mafuta ya kuchakachua!ukiweka tu missing lazima mfunge ndoa nayo!uliza kingine mkuu!
dah! ndo maana napambana na miss ki;a siku mkuu.....so what a way forwad kwa hilo la miss mkuu....dont ask me to sell it cos nalipenda sana gari yangu...
V V T-I ni Variable Valve Timming,kwa engine ya cylinder 6 ina valve 24 yaani inlet 12 na exhaust valves 12.Katika inlet manifold kuna censor ambayo ni controlled na throtle au engine depression na wamelink na engine controlls.Iwapo gari inatembea katika speed chini ya 60kmh to 80kmh valve 12 yaani 6 za inlet na 6 za exhaust hujifunga na kubaki valve 12 tu zinafanya kazi yaani 6 inlet na 6 exhaust.Speed ya gari ikizidi 60 au 80kmh(inategemea setting) valve zingine 12 zinafungua na kufanya valve 24 zote zifanye kazi hivo engine perfomance inaongezeka na fuel consuption inapungua.Ndiyo maana kwa gari kama GX-100 kutembelea hapa mjini ktk foleni na speed ndogo utalalamika inakula mafuta sana tofauti ukiingia safari ndefu ndiyo utaona raha yake zile down za chalinze mpaka segera unapanda na 120kmh bila gari kupungua nguvu.Kifupi hizi ni gari za masafa siyo za kutanulia mjini.Kuhusu technologia wapo vijana wanatengeneza sana,hapa Dar nenda Mivinjeni Garage ya Mabenzi kwa kijazi vijana wapo.Kama kuna ishu complicated wanaingia ktk computer.Siku hizi manual zipo ndani ya mtandao ukilog-in aina sahihi ya engine na taarifa sahihi unapata kila kitu hata majibu ya trouble shooting.
dah! ndo maana napambana na miss ki;a siku mkuu.....so what a way forwad kwa hilo la miss mkuu....dont ask me to sell it cos nalipenda sana gari yangu...
Sio kweli.VVTi ni Visual Valve Timing Injection!
thanx for correction mkuu, i support the definition.Sio kweli.
Kirefu cha VVT-i ni Variable Valve Timing, with Intelligence. Jerome kafafanua vizuri sana ufanyaji kazi wa injini hizi, sina haja ya kujazia zaidi. Injini hizi zimetengenezwa maalum kupunguza matumizi ya mafuta, hivyo kulinda mazingira dhidi kwa kupunguza kiasi cha moshi.
pamoja sana mkuu...ntafanyia kazi though nipo arusha kaka..its not a big issue mkuu kama umegundua mapema, what to do, use petrol treatment kila unavoweka mafuta, je unazifahamu?fika kwenye maduka ya vifaa vya magari maeneo ya makumbusho ulizia petrol treatment utapewa, also its available at game mliman city. bt nzuri ni zile za kule makumbusho. kama tatizo litaendelea then u need to clean fuel system, starting with fuel pump+filter, clean nozzles and Valves. lazma tatizo litaisha mkuu.
wala usikimbilie kuuza, fanya niliyokuambia n trust me miss zote zinaisha. petrol treatment ni sh 5,000-8,000. ku-clean nozzles Valves and fuel system itakucost from 20,000 - 40,000 max 50,000 tena hapo kwa mafundi experienced.
any question mkuu.