Naomba mawazo yako!

Jan 1, 2012
38
8
Za asubuhi ndugu zangu!
Naombeni mnishauri nini cha kufanya kupunguza maumivu ya kuachana na mpenzi wako wa muda mrefu.
Nimeachana na shemeji yenu jana na hali yangu ki roho si nzuri kabisa hata moyo wangu umekua unauma sana kiasi nahisi nakosa nguvu.
Thanks in advence.
 
1.Umemuacha ambae bado unampenda.POLE SANA.......huenda yeye ndie kakuacha au umemwacha kwa hasira.
2. Kama unaweza kusamehe na mkarekebisha...rudiana nae ili upate kile ROHO INAPENDA..KAMA HAIWEZEKANI.

TAFUTA MBADALA HARAKA SANA.
1.Tafuta mtu ambae atakuwa na sifa zaidi ya zile alizokuwa nazo.
2. Futa kumbukumbu zake zote kwako eg. namba za simu, e mail, picha zake weka mbali na wala usiwasiliane na wale wote waliokuwa connected nae.
3. Ule wakati ambao huwa mnakuwa wote fanya kitu mbadala eg kusoma vitabu,michezo,kunywa au kwenda club or any social activity.
 
Kwanza wewe ni mwanamke au mwanaume?

Pili tatizo ni aje mana mpenzi wako wa mda mrefu vipi muachane? c ndo hapo nashangaaaaaaa!!

Kama ni mwanaume wanawake wameisha kuwa wengi asikubabaishe utapata tu wengine.

Kama ni mwanamke hapo kazi usikimbilie kupenda mwingine mara moja unaweza kutangaziwa kama malaya.


Kama ni mwanamke cool down kwa mda afu nenda kwa step usije kukutana na dume lingine huni ukawachwa tena.
 
OMAN sometimes sisi wachangiaji Thread inatuwia vigumu namna ya kupanga maneno ikiwa hatuelewi tunaemwambia ni mtu wa Jinsia gani ! Ofcoz mimi sioni mantik ya ku'hide gendar sanasana kwangu mie naona kama ni uhuni flani hivi.
 
ingawaje hujaonesha deteils vizuri....., itategemea kama uliyemuacha unampenda ama laa! au umeachwa?,, je tatizo ni kubwa?,,, na je linasovika!
 
Pole sana mshukuru mungu kwa hilo,
Jaribu kuji kip bize na ishu nyingine,
Mwombe mungu atakupatia aliyeko wako,
Huyo hakua wako ndio maana meachana ili anayestahili apate nafasi kwako.
 
Tafuta chombo kipya kikali zaidi yake, wanawake wapo kama milioni mia mbili hivi, ya nn kuumiza kichwa, upate presha, BP na sheli?
 
Samahani kwa sikutambua gender yangu haiko, mimi ni mwanamke wa miaka 25 nimegombana nae akapata hasira kutaka tuachane, nimemuomba tumalize ugomvi kwa njia nyingine alikataa. Mimi ndio mkosaji kwakua nilingangania tuonane ile siku
 
1.Umemuacha ambae bado unampenda.POLE SANA.......huenda yeye ndie kakuacha au umemwacha kwa hasira.
2. Kama unaweza kusamehe na mkarekebisha...rudiana nae ili upate kile ROHO INAPENDA..KAMA HAIWEZEKANI.

TAFUTA MBADALA HARAKA SANA.
1.Tafuta mtu ambae atakuwa na sifa zaidi ya zile alizokuwa nazo.
2. Futa kumbukumbu zake zote kwako eg. namba za simu, e mail, picha zake weka mbali na wala usiwasiliane na wale wote waliokuwa connected nae.
3. Ule wakati ambao huwa mnakuwa wote fanya kitu mbadala eg kusoma vitabu,michezo,kunywa au kwenda club or any social activity.

Thanks a lot, nitalifanyia kazi nimeona hata mimi napata tabu kuona Emails zake pictures , pia kwenye BB.
 
Samahani kwa sikutambua gender yangu haiko, mimi ni mwanamke wa miaka 25 nimegombana nae akapata hasira kutaka tuachane, nimemuomba tumalize ugomvi kwa njia nyingine alikataa. Mimi ndio mkosaji kwakua nilingangania tuonane ile siku
ulitaka muonane na akaktaa,akatoa sababu gani???/

kwani kuna limit ya kuonana na mpenzi wako????

alikua anatafuta chanzo cha kuachana tuhuyo,mulika mwizi.


 
Huyo mpenzi wako ni mkeo? mumeo?

Kama si mkeo wala mumeo, ushukuru mungu kwa kukutoa katika dhambi za zinaa.
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Samahani kwa sikutambua gender yangu haiko, mimi ni mwanamke wa miaka 25 nimegombana nae akapata hasira kutaka tuachane, nimemuomba tumalize ugomvi kwa njia nyingine alikataa. Mimi ndio mkosaji kwakua nilingangania tuonane ile siku
jamani dia mambo yetu umeyaweka hadharani huku!!!! basi nimekusamehe hata mm roho inaniuma ntapata nani wa kunipa mbadala wa kitumbua zaidi yako.........dia njoooo. mis yu so machi
 
Mara nyingi sababu za kuachana ndiyo faraja. Ila kama umeachwa au kupigwa chini kwa lugha nyingine basi faraja yako ni Imani yako kwa Mola ukiamini Mungu anakuepusha na mengi.
 
  • Thanks
Reactions: Luv
ulitaka muonane na akaktaa,akatoa sababu gani???/

kwani kuna limit ya kuonana na mpenzi wako????

alikua anatafuta chanzo cha kuachana tuhuyo,mulika mwizi.



Kwanza hapakua na limit za kuonana ila baadae tukaamua tuonane Mara 1 kwa wiki mana tunaishi umbali wa kilometres 80. Nina wiki 2 sijamuona, nikapata matatizo ya kifamilia nilimuhitaji sana ndio sabab nilingangania kua nae.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom