Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
...na tena yawe ya dhati maana uzushi hautakiwi hapa. Iko namna hii:
Siku kadhaa zilizopita mimi na shemeji/wifi yenu Kongosho tulikuwa tunaangalia documentary fulani ihusuyo wadudu (could be wanyama pia maana sikumbuki vema). Kwenye hiyo documentary ilionyeshwa kuwa kila dume aki-sex na jike dume anakufa mara. Sasa Kongosho (maybe ni kwa ajili ya wivu) akatoa comment hii: "Bora hii ingekuwa ina-apply pia kwa binadamu". Wenzangu (wanaume kwa wanawake) mna maoni gani?
Siku kadhaa zilizopita mimi na shemeji/wifi yenu Kongosho tulikuwa tunaangalia documentary fulani ihusuyo wadudu (could be wanyama pia maana sikumbuki vema). Kwenye hiyo documentary ilionyeshwa kuwa kila dume aki-sex na jike dume anakufa mara. Sasa Kongosho (maybe ni kwa ajili ya wivu) akatoa comment hii: "Bora hii ingekuwa ina-apply pia kwa binadamu". Wenzangu (wanaume kwa wanawake) mna maoni gani?