Njaa kali hakuna pesa sahiz unaweza jaribu njia zote...Wadau naombeni rafu estimates za kumlipa fundi ujenzi nyumba ya kawaida yenye, chumba masters sebule, jiko na stoo
Je njia nzuri za kuepuka gharama ni kuhesabu tofali alizojenga au maelewamo tu.
Tofali msingi 600, za kupandisha kama 1200 location ni Dsm, kiwanja kipo sehemu nzuri..Naomba estimate hapo mkuu.Njaa kali hakuna pesa sahiz unaweza jaribu njia zote...
Ya kwanza jua nyumba yako mpaka in aisha unahitaji tofari ngapi.. Kwa kujua idadi ya tofari unakaa na fund una mwambia bwana kama nikitaka kuripa kwa kila tofari shingap?? Na kama naripa kwa ujumla wa kujenga nyumba ad inafika kwenye rinta shingap...
Hapo majibu yake yatakupa mwanga njia gani nzuri..
Lakin pia inategemea upo wap gharama za ujenz wa dsm sio sawa na kule kwetu nanjilinji
Njia nyingne watu hujenga kwa awam hii nayo inasaidia.. Una gwa ujenz katika awam tatu
Msingi
Boma ad kwenye rinta
Rinta ad kupaua
Unaongea na fund nataka kujenga msingi tuu ndugu nina laki zangu hiz
Msingi ukiisha una mwita tena baada ya wek unapatana nae kutoka kwenye msing ad rinta
Zen kipande cha mwsho
Not njia hii ni lazima ujue nyumba yako itagarimu kiasi gani ndio uwezo wa kujenga kwa Kiwango cha chini zaid utaweza
Iko poa mno, ukiona mafundi wanakuzingua niambie nikupe fundi wangu, utanishukuru baadayeMkuu kwa Dar hiyo bei ni possible?
Sasa 400²m ulitarajia milioni 3 zitosheJamani ujenzi ni hatari sana, fensi tu imenifua vya kutosha🤣🤣🤣🤣
Iko poa mno, ukiona mafundi wanakuzingua niambie nikupe fundi wangu, utanishukuru baadaye
Nilifanya kama ulivyosema hapoMpaka kupaua mlipe 1.5,
Ujenzi tu mlipe laki 6 mpaka 8.
Usikubali kupatana naye kwa siku atakuumiza.
Utaumia ukilipa kwa siku.Kibarua kwa siku 15K na fundi kwa siku 25K
Hapo ni tofali bila vipande..maana tofali Moja linaweza toa vipande viwili hadi vinne..au utahesabu tofali tu ulizoletaKwa sasa Tofari moja hujengwa kwa 400 hivo 400 x 1800 = 720,000
Uza kazi yote kwa sh 690,000 hadi 750,000 Range nae humo ila usilipe day maana unaweza fanyiwa vimbwanga.
Pia usipigiane kwa Tofari kwani mafundi hujenga haraka bila kufuata ubora na muonekano wa kazi. Ila kama utasimamia mwenyewe na kukagua pindi wanapojenga ni Sawa