Kibantu🤣Duh! lugha gani hii?
nicheck pmZanzibar
Ukishuka downtown panda mwendokasi ukashukie shekilango.Natokea zanzibar kwa iyo nitaondokea dar
Kumbe hata nauli hana mpaka akashikweshikwe😂Toka zanzbar fka magu stend chunga wasikuibie cmu nauli ni 70k to 90k kulingana na magar yenyewe then mwanza umefika. Plan b fka stage ulembue kidogo utapata kibos anaenda huko hata kwa 40k bora tu ukubali akushke shke. Plan 3...... Ngoja naja
Bus Katarama.Habari zenu wapenzi husika na mada apo juu nahitaji kwenda mwanza sijawahi fika uwo mkoa naitaji kujua bei ya bus na kampuni gani nzuri ambayo nitafurahia safari yangu.
Sina uwezo wa ndege😁😁Chagua uende,
1.Kwa ndege Au
2.Kwa basi
Kwani kuwa mkurya ni mbaya?Aki nilijua we mkurya! Gashi okobise! Toleho kaka one
Kumbe hata nauli hana mpaka akashikweshikwe