Naomba list ya Internet Service Provider (ISP) wa Tanzania

Naomba list ya Internet Service Provider (ISP) wa Tanzania

Who would you pick as your ISP for office use Fiber optic connection

  • SimbaNET

    Votes: 4 13.3%
  • TTCL

    Votes: 10 33.3%
  • Vodacom

    Votes: 5 16.7%
  • RAHA

    Votes: 1 3.3%
  • Wia

    Votes: 1 3.3%
  • Tigo

    Votes: 1 3.3%
  • Zantel

    Votes: 1 3.3%
  • Airtel

    Votes: 1 3.3%
  • Cats Net

    Votes: 5 16.7%
  • Habari Node

    Votes: 1 3.3%

  • Total voters
    30
Siwezi weka speed test ya ttcl ila nishazitumia zote simbanet na ttcl.ttcl wapo vizuri hata kwenye gharama kuliko simba
 
Kama unataka dedicated connection ya Fiber jaribu kuwatafuta Cootel wanatoa huduma hiyo, hao ISPs wengine hawatoi dedicated bro...wanatoa shared...
 
Ni muda sasa tangu tumepima uwezo wa internet provider wa nchi yetu na kaw hali ilivyo wameongezeka wengi tu tangu 2017. sio mbaya tukiongeza kwenye list alafu tukapima tena. kwa kuangalia zaidi mikoani
 
Ni muda sasa tangu tumepima uwezo wa internet provider wa nchi yetu na kaw hali ilivyo wameongezeka wengi tu tangu 2017. sio mbaya tukiongeza kwenye list alafu tukapima tena. kwa kuangalia zaidi mikoani
Mkuu mimi nimefunga zuku 10mbps gharama ni 69,000 kwa mwezi, speed yao wanasema up to 10mbps hivyo sio dedicated, kwa experience yangu muda mwingi unaipata hio 10mbps kasoro peak time mida kama saa 12 jioni mpaka saa 3 usiku inashuka hadi 6 mpaka 7 mbps.

Pia nacheza sana games online, ping inavary kupita maelezo, kuna muda inakuwa nzuri kupita mitandao ya simu na muda ping inazidi 1000ms, hivyo kama unategemea zaidi ping hawa jamaa hawafai. Ila matumizi ya kikawaida ya kuangalia youtube na netflix wapo vizuri.

Pia raha na makampuni mengine ya fiber wametandaza fiber za kutosha mitaani, hivyo naamini soon majiji mengi yatakuwa covered na hizi fiber.

Raha wanaanzia 60,000 na kuna faiba wao ni 75,000 wote ni 10mbps wanaanzia.

Pia zipo package kubwa zinaweza kustream hadi 4k za kuanzia 50mbps kwa bei kuanzia 120,000
 
kwa biashara sawa ila mtu binafsi hapana,

kenya wanazo 2mbps kwa 1000 mpaka 1500 ambayo inakuja kama 30,000 hivi ya kibongo, hata ikizidi hadi 50,000 sio mbaya cha muhimu iwe na latency chini ya 10ms na speed angalau 2mbps.
Yani hiki ndio nilitegemea ila internet ya nyumbani ninunue laki 2 kwa mwezi? Hapana kwa kweli! Atleast ingekuwa 50K-100K!

Kwa hizo bei ni aheri kununua kale ka 4G router nipachike line ninunue hata 100GB kwa mwezi mzima! Za zantel kwa 20K unapata 20GB so kwa 80K nakuwa nimepata 100GB zinaweza kunisogeza walau!
 
Mkuu mimi nimefunga zuku 10mbps gharama ni 69,000 kwa mwezi, speed yao wanasema up to 10mbps hivyo sio dedicated, kwa experience yangu muda mwingi unaipata hio 10mbps kasoro peak time mida kama saa 12 jioni mpaka saa 3 usiku inashuka hadi 6 mpaka 7 mbps.

Pia nacheza sana games online, ping inavary kupita maelezo, kuna muda inakuwa nzuri kupita mitandao ya simu na muda ping inazidi 1000ms, hivyo kama unategemea zaidi ping hawa jamaa hawafai. Ila matumizi ya kikawaida ya kuangalia youtube na netflix wapo vizuri.

Pia raha na makampuni mengine ya fiber wametandaza fiber za kutosha mitaani, hivyo naamini soon majiji mengi yatakuwa covered na hizi fiber.

Raha wanaanzia 60,000 na kuna faiba wao ni 75,000 wote ni 10mbps wanaanzia.

Pia zipo package kubwa zinaweza kustream hadi 4k za kuanzia 50mbps kwa bei kuanzia 120,000
Hawa raha wanafunga hata huku uswahilini Tabata maana nje kwetu hapa walizikaga waya wa fibre optic kipindi flani! sijui walikuwaga voda wale au kampuni gani ila kuna fibre ipo nje tu ya nyumba yetu
 
Hawa raha wanafunga hata huku uswahilini Tabata maana nje kwetu hapa walizikaga waya wa fibre optic kipindi flani! sijui walikuwaga voda wale au kampuni gani ila kuna fibre ipo nje tu ya nyumba yetu
Ni kweli mkuu Raha wana coverage kubwa Africa, sema wanatarget sana Biashara, hawapo wazi linapokuja suala la wateja wa kawaida.
 
Dah nani ambao wanaweza kuwa supportive kwa home internet?
Zuku hawajafika huko, ila hawa jamaa wapo serious sana, ukiwapigia simu siku hio hio wa nakuja kukufungia, na ni bure installation we unaanza tu kulipia gharama ya mwezi.

Na offer kibao ukiwa unalipia kabla tarehe ya ku expire haijafika wana double speed.
 
Zuku hawajafika huko, ila hawa jamaa wapo serious sana, ukiwapigia simu siku hio hio wa nakuja kukufungia, na ni bure installation we unaanza tu kulipia gharama ya mwezi.

Na offer kibao ukiwa unalipia kabla tarehe ya ku expire haijafika wana double speed.
Niliwacheki ila wanadai wapo Kino Clein tu na ushuani Masaki, Obey, Msasani huko
 
Habari chief mimi naishi Tabata kuna kampuni za hawa jamaa wa fiber zinazoweza nifikia huku
utakuja huyu jamaa atakusaidia zaidi. Nafikiri ipo fiber na ipo satelite Internet kwa 60,000 ambayo unatumia popote Tanzania. Sema satelite Internet in ping mbovu haifai kufanya kitu chochote cha live kama kuangalia mpira, kuongea online, video call etc.

Installation bure
 
utakuja huyu jamaa atakusaidia zaidi. Nafikiri ipo fiber na ipo satelite Internet kwa 60,000 ambayo unatumia popote Tanzania. Sema satelite Internet in ping mbovu haifai kufanya kitu chochote cha live kama kuangalia mpira, kuongea online, video call etc.

Installation bure
Ahh"Hapana mkuu mimi shughuli zangu zote ni hizo ulizo ziorodhesha hapo.Naona hiyo haita nifaaa
 
Ahh"Hapana mkuu mimi shughuli zangu zote ni hizo ulizo ziorodhesha hapo.Naona hiyo haita nifaaa
Kama hizo ndio kazi zako ni Fiber tu itakufaa.

Tembelea na huu uzi muone mtoa mada

Vifurushi vizuri ila speed yake sifahamu anaweza akakupa experience yake hasa ping.
 
Haya makampuni yakiwa serious na kutandaza fibre jiji zima naamini pesa wataipata sana tu.
 
Back
Top Bottom