Mzalendo39
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 881
- 1,035
Ttcl ipo pouwaa
screenshot ya speedtestMkuu kama unatumia SimbaNET tuwekee basi ping statistics yao hapa. Na kama hutojali na wengine pia please use this link Visualware MyConnection Server | Connection Test to test your connection and share tuone
Wacheki smile ndo wako vizur sana mwenye ISP broHabari wana JF
Tafadhali naomba msaada wa kupata list ya ISP wa Tanzania, nahitaji ili niweze kuissue Bid request lakini pia kujua who is there na what capacity nayo
Jamaa hajakulewa vizur alijua labda unataka vifurushi vya simu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mimi nataka dedicated connection ya Fiber kwa ajili ya ofisi. Je vp kuhusu turn around time incase of problem like kuwa down au any technical problem?
Kama unawatumia vp unawaona je are you enjoying the service?
Wacheki smile kaka NFO wako vizur sana.....maana wale jamaa wako more dedicates in ISP .....Mimi nataka dedicated connection ya Fiber kwa ajili ya ofisi. Je vp kuhusu turn around time incase of problem like kuwa down au any technical problem?
Kama unawatumia vp unawaona je are you enjoying the service?
Bei ya simba net kwa mwezi ni ngapi?sio mbaya speed yao, single digit ping pia ni nzuri.
bei zao unazifahamu?
bei ya internet za biashara mara nyingi haipo fixed inategemea na matumizi, location etc mfano hii ninayotumia wanalipa dola 2000 kwa mwezi wafanyakazi zaidi ya 70 wanatumia mikoa mitatu na matawi kama 8 hivi.Bei ya simba net kwa mwezi ni ngapi?
For corporate na kama unataka dedicated kwa ISP ambao nimeshafanya nao price inadepend na bandwidth unayotaka. mfano curreny ISP anachaji kama USD$150 kwa mwezi per 1mbps.bei ya internet za biashara mara nyingi haipo fixed inategemea na matumizi, location etc mfano hii ninayotumia wanalipa dola 2000 kwa mwezi wafanyakazi zaidi ya 70 wanatumia mikoa mitatu na matawi kama 8 hivi.
na baadhi ya wafanyakazi wameletewa hadi majumbani,
SimbaNET niliwahi kuwatumia miaka ya 2009 - 2011 by that time price zailikua juu coz ilikuwa VSat ila kwa sasa najua wako cheap i will be testing there connection soonBei ya simba net kwa mwezi ni ngapi?
Mkuu niliwahi kucheki na Smile kama sikosei mwaka juzi waliconfirm kwamba hawana corporate packages. Na pia coverage yao ni ndogo as ni Dar peke yake.Wacheki smile kaka NFO wako vizur sana.....maana wale jamaa wako more dedicates in ISP .....
asante kwa ukumbusho, nimeshazoea hizi shared ip za mitandao yetu.Mkuu umesubscribe capacity gani kutoka kwao mpaka unapata 5mbps up/down? alafu mkuu unajiweka kwenye risk kwa kutohide your public IP
Baada ya comment nyingi lets vote nina imani itaturahisishia sana sisi Watu w ICT kufanya decisionHabari wana JF
Tafadhali naomba msaada wa kupata list ya ISP wa Tanzania, nahitaji ili niweze kuissue Bid request lakini pia kujua who is there na what capacity nayo
Ttcl ni wazuri lakini ujanjaujanja mwingi ,mfano wanaweza kukupa 3MPS lakini usipate exactly 3MPS .Kuna yeyote anatumia vodacom anipe mrejesho as nahofia wanaweza nitreat kama small fish as they are big in the market. Je kama unatumia how is there service. Nimewaweka kwenye list yangu na survey wameshafanya ila napenda kupata more information. TTCL mnaniconvince kuwaweka lakini ningependa sana kupata mrejesho kutoka kwa wanaoitumia as my office is 95% internet dependant so ikikata tu ni shiidah