Naomba kwa anaejua aniambie Mungu ana Jinsia Gani? Je! MUNGU ni Mwanamke au ni Mwanaume? Mungu ni Mama au Mungu ni Baba?

Naomba kwa anaejua aniambie Mungu ana Jinsia Gani? Je! MUNGU ni Mwanamke au ni Mwanaume? Mungu ni Mama au Mungu ni Baba?

Bueno

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2022
Posts
34,610
Reaction score
59,577
Wakuu, hili swali limekua linanisumbua kichwa changu sana, tafadhari sana msinione km napatwa na wazimu kuhoji hili swali la jinsia ya Mungu. Ila wakuu naomba kwa anaefahamu tafadhari sana aniambie Jinsia ya Mungu ni ipi? Je! MUNGU ni Mwanamke au ni Mwanaume au MUNGU hana jinsia kabisa?

Tafadhari sana unapojibu usinijibu kwa kutumia ile hadithi ya "tumuumbe Mtu kwa Mfano wetu" na usinijibu kwa kutumia hadithi ya uumbaji wa Eva kutoka kwenye Ubavu wa Adamu. Tafadhari sana unapojibu kuhusu jinsi ya Mungu unionyeshee na kifungu kinachoonyesha kua Mungu ni jinsia hii? Unaposema Mungu ni Mwanaume nionyeshee aliposema yeye ni Mwanaume na unaposema ni Mwanamke nionyeshee aliposema yeye Mungu ni Mwanamke.

Tafadhari sana naomba unapojibu mkuu zingatia sana hayo mambo mawili, napenda kujua Mungu ana jinsia gani? Usiniambie Mungu ana jinsia ya Yesu na Maria. Please huko usiniambie kabisa mkuu. Wewe niambie ni wapi MUNGU aliposema kua yeye ni Mwanamke na wapi aliposema yeye ni Mwanaume. Usiniambie Yesu alijitambulisha kua ametumwa na Baba yake kwa hio Mungu ni Mwanaume, kwa hio na wale wanaosema Mungu ni Mwanamke hawapo sahihi kwamba Yesu alipokuja hakusema ametumwa na Mama yake?

Nasubiria majibu yenu wakuu. Maana kuna siku nilisikia mtu akisema MUNGU ni Mama, nilishtuka sana yaani sasa tumefika kumuita Mungu Mama sio Mungu Baba tena?

Wakuu, nasubiri hapa mnielezee jinsia ya Mungu.
 
Najaribu kutafuta lengo la swali lako, naona wazi muelekeo wako si mzuri....bila kayfa.
Mkuu wewe niambie tu unaelewa nini kuhusu jinsia ya Mungu, usiniambie kwamba Mungu alimtia mimba Bikra Maria na kumuachia Bikra yake na Maria akamzaa Yesu, kwa hio Mungu ni Mwanaume.

Usiniambie hizo simulizi mkuu, wewe niambie wapi Mungu alisema yeye ni Mwanaume, usiniambie Yesu wakati anabatizwa alishuka Ua juu ya bega kutoka Mawinguni na sauti ikasikika "huyu ndie Mwanangu Mpendwa ninaependezwa nae", sauti hio ilikua ya Mwanaume au ya Mwanamke?

Usiniambie kwamba Yesu kabla ya kukata roho alisema "Baba Mikononi mwako naiweka Roho yangu", sasa wale wanaosema Mungu ni Mwanamke, je! Hawapo sahihi kumuita Mungu ni Mwanamke? Yaani Mungu ni Mama? Mungu ni Mama?
 
Mkuu wewe niambie tu unaelewa nini kuhusu jinsia ya Mungu, usiniambie kwamba Mungu alimtia mimba Bikra Maria na kumuachia Bikra yake na Maria akamzaa Yesu, kwa hio Mungu ni Mwanaume. Usiniambie hizo simulizi mkuu, wewe niambie wapi Mungu alisema yeye ni Mwanaume, usiniambie Yesu wakati anabatizwa alishuka Ua juu ya bega kutoka Mawinguni na sauti ikasikika "huyu ndie Mwanangu Mpendwa ninaependezwa nao", sauti hio ilikua ya Mwanaume au ya Mwanamke?

Usiniambie kwamba Yesu kabla ya kukata roho alisema "Baba Mikononi mwako naiweka Roho yangu", sasa wale wanaosema Mungu ni Mwanamke, je! Hawapo sahihi kumuita Mungu ni Mwanamke? Yaani Mungu ni Mama?
Takbiiiiiir....
 
Dah kufuru hizi usiku wote huu angalia mara usiamke tena ww
Mkuu wewe sema Mungu ni Mwanamke au ni Mwanaume? Maana kuna mtu kanichanganyia mafaili anasema Mungu ni Mwanamke yaan Mungu ni Mama, wewe unakubari Mungu ni Mama?
 
Tafuta kitabu cha Imani unayoitaka kisome utapata majibu
 
Wakuu, hili swali limekua linanisumbua kichwa changu sana, tafadhari sana msinione km napatwa na wazimu kuhoji hili swali la jinsia ya Mungu. Ila wakuu naomba kwa anaefahamu tafadhari sana aniambie Jinsia na Mungu ni ipi? Je! MUNGU ni Mwanamke au ni Mwanaume au MUNGU hana jinsia kabisa?

Tafadhari sana unapojibu usinijibu kwa kutumia ile hadithi ya "tumuumbe Mtu kwa Mfano wetu" na usinijibu kwa kutumia hadithi ya uumbaji wa Eva kutoka kwenye Ubavu wa Adamu. Tafadhari sana unapojibu kuhusu jinsi ya Mungu unionyeshee na kifungu kinachoonyesha kua Mungu ni jinsia hii? Unaposema Mungu ni Mwanaume nionyeshee aliposema yeye ni Mwanaume na unaposema ni Mwanamke nionyeshee aliposema yeye Mungu ni Mwanamke.

Tafadhari sana naomba unapojibu mkuu zingatia sana hayo mambo mawili, napenda kujua Mungu ana jinsia gani? Usiniambie Mungu ana jinsia ya Yesu na Maria. Please huko usiniambie kabisa mkuu. Wewe niambie ni wapi MUNGU aliposema kua yeye ni Mwanamke na wapi aliposema yeye ni Mwanaume. Usiniambie Yesu alijitambulisha kua ametumwa na Baba yake kwa hio Mungu ni Mwanaume, kwa hio na wale wanaosema Mungu ni Mwanamke hawapo sahihi kwamba Yesu alipokuja hakusema ametumwa na Mama yake?

Nasubiria majibu yenu wakuu. Maana kuna siku nilisikia mtu akisema MUNGU ni Mama, nilishtuka sana yaani sasa tumefika kumuita Mungu Mama sio Mungu Baba tena?

Wakuu, nasubiri hapa mnielezee jinsia ya Mungu.

BABA TUNAKUJA KWAKO TUNALIINUA JINA LAKO

HERI WAMTUMAINIO BWANA WATAPA BARAKA
HERI WAMTUMAINIO BWANA WATAPA BARAKA
HERI WAMTUMAINIO BWANA WATAPA BARAKA
HERI WAMTUMAINIO BWANA WATAPA BARAKA

WATAPATA NGUVU MPYA
WATAPA AMANI MIOYONI MWAO
WOTE WAMTUMAINIO BWANA WATAPA BARAKA

YESU NI MUNGU MINGINE YOTE MIUNGU ISIYOKUA NA UHAI WA MILELE.
WEWE NDIWE BWANA BWANA WA MABWANA
WEWE NDIWE BWANA BWANA WA MABWANA

MUNGU KAMA WEWE HAKUNA
OOH MUNGU KAMA WEWE HAKUNA
MUNGU KAMA WEWE HAKUNA
MUNGU KAMA WEWE OOOH HAKUNA

MPASUA BAHARI KAMA WEWE, HAKUNA
MTENDA MIUJIZA, HAKUNA

THANK YOU JESUS NEEMA YA MUNGU INATOSHA

THANK YOU SO MUCH FOR READING THIS POST
 
Wakuu, hili swali limekua linanisumbua kichwa changu sana, tafadhari sana msinione km napatwa na wazimu kuhoji hili swali la jinsia ya Mungu. Ila wakuu naomba kwa anaefahamu tafadhari sana aniambie Jinsia na Mungu ni ipi? Je! MUNGU ni Mwanamke au ni Mwanaume au MUNGU hana jinsia kabisa?

Tafadhari sana unapojibu usinijibu kwa kutumia ile hadithi ya "tumuumbe Mtu kwa Mfano wetu" na usinijibu kwa kutumia hadithi ya uumbaji wa Eva kutoka kwenye Ubavu wa Adamu. Tafadhari sana unapojibu kuhusu jinsi ya Mungu unionyeshee na kifungu kinachoonyesha kua Mungu ni jinsia hii? Unaposema Mungu ni Mwanaume nionyeshee aliposema yeye ni Mwanaume na unaposema ni Mwanamke nionyeshee aliposema yeye Mungu ni Mwanamke.

Tafadhari sana naomba unapojibu mkuu zingatia sana hayo mambo mawili, napenda kujua Mungu ana jinsia gani? Usiniambie Mungu ana jinsia ya Yesu na Maria. Please huko usiniambie kabisa mkuu. Wewe niambie ni wapi MUNGU aliposema kua yeye ni Mwanamke na wapi aliposema yeye ni Mwanaume. Usiniambie Yesu alijitambulisha kua ametumwa na Baba yake kwa hio Mungu ni Mwanaume, kwa hio na wale wanaosema Mungu ni Mwanamke hawapo sahihi kwamba Yesu alipokuja hakusema ametumwa na Mama yake?

Nasubiria majibu yenu wakuu. Maana kuna siku nilisikia mtu akisema MUNGU ni Mama, nilishtuka sana yaani sasa tumefika kumuita Mungu Mama sio Mungu Baba tena?

Wakuu, nasubiri hapa mnielezee jinsia ya Mungu.
Jinsi ✅ Jinsi = Aina/namna ya kiumbe au kitu.

Jinsia ✅ Jinsia = Mifumo ya majukumu baina ya Me au Ke kulingana na mila na desturi katika jamii.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Back
Top Bottom